Nape na January: dhihirisheni basi kwamba JPM aliwatema kimakosa!

Nape na January: dhihirisheni basi kwamba JPM aliwatema kimakosa!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Mh Nape!

Hatukufichi mkuu, wewe huna chochote mpaka sasa ulichosaidia wananchi kwenye wizara yako zaidi ya kuwakamua tuu kupitia vifurushi huku huduma zikiwa mbovu zaidi,

Haujawahi kuwatetea hata kidogo wananchi uwapo kwenye vikao vyenu na makampuni haya ya mitandao na cha ajabu umekuwa wa kwanza kuogopa ushindani ambao ungeletwa na kampuni ya Elon Musk, hapa ndo umedhihirisha kwamba huna faida yoyote kwenye hiyo wizara! Unazuia uwekezaji kwa kuweka masharti ya yasiyo na tija! Vijana hawana ajira, unazuia uwekezaji kwa faida ya nani?

Hapa tunajiuliza maswali mengi sana, sjui unapata faida gani katika hilo!

Mpaka sasa haujatushawishi wananchi kwamba uliondolewa na kukataliwa na JPM kimakosa bali umedhihirisha kuwa huna uwezo wowote na unabebwa!

Mh January!

Ndugu yangu, hatukufichi, hiyo miradi ya JPM inakubeba saana na imeanza kukufichia udhaifu wako bora isimamie vema na iende kwa kasi kwani huna jipya hapo zaidi ya kutukatia umeme na sababu zisizo na mbele wala nyuma!

JPM hakuwaonea hata kidogo kuwakataa na kuwatupa nje kabisa ya baraza lake
 
Hao viumbe, Huwa wapo Kwa ajili ya Kujaza matumbo yao kupitia kulinda/walinda mtu/watu Fulani fulan.


Sio Vijana ambao Taifa linaweza kuwategemea kuleta matokeo Chanya.

in fact ni mbumbumbu, naposema mbumbu namaanisha HAWANA UBUNIFU, SIO WATU UNAOWEZA SEMA WAKULETEE MBINU ZA KUSOLVE KITU FULANI.
 
Kama nape si unaona anavyomvimbia musk aweke mambo sawa kwa manufaa mapana ya mtz
 
Mh Nape!

Hatukufichi mkuu, wewe huna chochote mpaka sasa ulichosaidia wananchi kwenye wizara yako zaidi ya kuwakamu tuu kupitia vifurushi huku huduma szikiwa mbovu zaidi,

Haujawahi kuwatetea hata kidogo wananchi uwapo kwenye vikao vyenu na makampuni haya ya mitandao na cha ajabu umekuwa wa kwanza kuogopa ushindani ambao ungeletwa na kampuni ya Elon Musk napo umeipiga pini,

Hapa tunajiuliza maswali mengi sana, sjui unapata faida gani katika hilo!

Mpaka sasa haujatushawishi wananchi kwamba uliondolewa na kukataliwa na JPM kimakosa bali umedhihirisha kuwa huna uwezo wowote na unabebwa!

Mh January!

Ndugu yangu, hatukufichi, hiyo miradi ya JPM inakubeba saana na imeanza kukufichia udhaifu wako bora isimamie vema na iende kwa kasi kwani huna jipya hapo zaidi ya kutukatia umeme na sababu zisizo na mbele wala nyuma!

JPM hakuwaonea hata kidogo kuwakataa na kuwatupa nje kabisa ya baraza lake
Nape ni Afisa habari wa makampuni ya CM, January yeye ni dalali wa nishati. Over
 
Kwani jamaa hio biz ni yake mpaka apandishe bei
Kwani hawezi kusimama na wananchi? Umesikia lini kwamba baada ya kampuni hizo kudai gharama za uendeshaji zimekuwa za juu na Nape akapeleka Bungeni likazungumziwe au kwenye kamati ya uwekezaji!
 
Mh Nape!

Hatukufichi mkuu, wewe huna chochote mpaka sasa ulichosaidia wananchi kwenye wizara yako zaidi ya kuwakamu tuu kupitia vifurushi huku huduma szikiwa mbovu zaidi,

Haujawahi kuwatetea hata kidogo wananchi uwapo kwenye vikao vyenu na makampuni haya ya mitandao na cha ajabu umekuwa wa kwanza kuogopa ushindani ambao ungeletwa na kampuni ya Elon Musk napo umeipiga pini,

Hapa tunajiuliza maswali mengi sana, sjui unapata faida gani katika hilo!

Mpaka sasa haujatushawishi wananchi kwamba uliondolewa na kukataliwa na JPM kimakosa bali umedhihirisha kuwa huna uwezo wowote na unabebwa!
Wacha kuandika uwongo humu na kuwalaumu kina NAPE kwa uzembe wako. Wenye akili wanatumia bundle la internet kufanya biashara, wewe kutwa nzima unatumia bundle kuandika majungu JF. Haiwezi kukulipa kamwe.
Mh January!

Ndugu yangu, hatukufichi, hiyo miradi ya JPM inakubeba saana na imeanza kukufichia udhaifu wako bora isimamie vema na iende kwa kasi kwani huna jipya hapo zaidi ya kutukatia umeme na sababu zisizo na mbele wala nyuma!

JPM hakuwaonea hata kidogo kuwakataa na kuwatupa nje kabisa ya baraza lake

Wacha kushabikia bila kuwa na facts. Mradi wa umeme aliouanzisha Magufuli ni wa JNHEPP ambao uko 95% hadi kukamilika. Umeme tunaotumia sasa hivi ni Megawati 800 za Kidatu, Hale, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Pangani na Mtera. Ongeza na Megawati 800 za Kinyerezi 1 & 2. Sasa je ni miradi ipi ya Magufuli inayombeba January.

Don't write like headless chicken
 
Wacha kuandika uwongo humu na kuwalaumu kina NAPE kwa uzembe wako. Wenye akili wanatumia bundle la internet kufanya biashara, wewe kutwa nzima unatumia bundle kuandika majungu JF. Haiwezi kukulipa kamwe.


Wacha kushabikia bila kuwa na facts. Mradi wa umeme aliouanzisha Magufuli ni wa JNHEPP ambao uko 95% hadi kukamilika. Umeme tunaotumia sasa hivi ni Megawati 800 za Kidatu, Hale, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Pangani na Mtera. Ongeza na Megawati 800 za Kinyerezi 1 & 2. Sasa je ni miradi ipi ya Magufuli inayombeba January.

Don't write like headless chicken
Punguza jaziba tuu mkuu, maana ujinga kwako ni kama fedha na unaulinda kisawasawa, hauwezi kuisha

Na mada hii haiwahusu mbumbumbu wa ufipa kama wewe

Nilichoandika na ulichojibu ni sawa na makao makuu ya ufipa na makao makuu ya ACT

Ikiwa mb unazitumia kukuinua kimaisha, hapa umepata sh ngapi mfipa wewe? Na umefuata nini hapa mahali ambapo wapoteza mb tunajadili yetu?
 
Sote tunajuwa hao watu wawili ni hovyo na wanaopenda cheap politics.

Lakini hilo la Elon Musk, hoja za Nape zinamashiko si kwenye changamoto za wateja tu, ata kwenye kodi.

Kwa sheria za Tanzania ukiuza huduma kwa zaidi ya miezi sita ata kwa njia ya mtandao unaondolewa kutoka kuwa non-resident company na kuhesabika kama Permanent Establishment (resident company) kwa hivyo inabidi upatikane kirahisi na TRA pia na vyombo vingine vya serikali.

Kutokuwa na ofisi kunaweza leta usumbufu mkubwa sana sehemu nyingi na serikali kushindwa kui-control taasisi kama hiyo kila nchi ina sheria zake. Kwa hapa Nape yupo sahihi kwa sababu nyingi sana.
 
Punguza jaziba tuu mkuu, maana ujinga kwako ni kama fedha na unaulinda kisawasawa, hauwezi kuisha

Na mada hii haiwahusu mbumbumbu wa ufipa kama wewe

Nilichoandika na ulichojibu ni sawa na makao makuu ya ufipa na makao makuu ya ACT

Ikiwa mb unazitumia kukuinua kimaisha, hapa umepata sh ngapi mfipa wewe? Na umefuata nini hapa mahali ambapo wapoteza mb tunajadili yetu?
Nimejibu point zako kwa takwimu na facts, ila wewe waja na matusi. Ni kawaida ya wapumbavu, ukiwashinda kwa hoja lazima wakutukane
 
Back
Top Bottom