Nape na January Makamba walikuwa mzigo Serikalini

Nape na January Makamba walikuwa mzigo Serikalini

Sonimbusilo

Member
Joined
Aug 12, 2024
Posts
12
Reaction score
47
Pigo la pili kwa January Makamba na Nape Nnauye kwa Marais wawili tofauti Ni wao kujiona special toka enzi za CCJ.

Wadau kwa mtizamo na jicho la kitafiti mtakubaliana nami kuwa January Makamba na Nape Nnauye Wana Maisha ya kujiona special toka enzi na enzi, ukitizama historia Yao hata ya Elimu Ni Ukweli woote wawili wameunga unga tu kwa sababu wametoka familiar bora, anzia January Makamba kigonsera zero brain kabisa Ila pesa ikamng'arisha hadi nje, rudi kwa Nape kuanzia chini hadi anasoma INDIA.

Vuta kumbukumbu Ben Saanane kabla ya kupotea alikuwa Anasema yeye alisoma na Nape Nnauye INDIA japo vyuo tofauti lakini uwezo wa Nape Nnauye ulikuwa mdogo kwa wanafunzi kutoka Afrika, sema akiwa INDIA alikuwa na pesa chafu za nyumbani na alikuwa mtu wa kujiona, special, kujisikia na kuona yeye ndo kila kitu.

Pigo la Nape na January Makamba ni kujisikia na kujiona special na kuona wanaweza kufanya chochote na ndo Maana hata historia ya vuguvugu la uhasi ndani ya CCM kipindi cha CCJ huwakosi watu hao, lakini ukitizama Nape Nnauye Kuanzia akiwa Waziri wa habari yeye alikuwa ni mtu wa mgeni rasmi, kuzindua makongamano, mara semina yaani ni sanaa, Utapeli, suti nk na ndo maana kila akitumbuliwa na kuanzia Hayati Magufuli mpka Rais Samia alikuwa ukumbini mgeni rasmi.

Mwisho January Makamba na Nape Nnauye ni Viongozi wa kujikweza na wana uwezo mdogo katika utendaji wao, angalieni wizara zoote waliopita walishindwa kudeliver kwa ajili ya nchi bali walijitengenezea kesho yao nzuri na wapambe wao.

IMG-20240816-WA0035.jpg
 
Water under the bridge.

Hatahivyo...

Wamekaa na vishikwambi vyao na sa hizi wanapiga kura za majaribio teyari kwa uchaguzi 2025 (safari hii sio la mkono
V.A.R itashinda.
 
Pigo la pili kwa January Makamba na Nape Nnauye kwa Marais wawili tofauti Ni wao kujiona special toka enzi za CCJ.

Wadau kwa mtizamo na jicho la kitafiti mtakubaliana nami kuwa January Makamba na Nape Nnauye Wana Maisha ya kujiona special toka enzi na enzi, ukitizama historia Yao hata ya Elimu Ni Ukweli woote wawili wameunga unga tu kwa sababu wametoka familiar bora, anzia January Makamba kigonsera zero brain kabisa Ila pesa ikamng'arisha hadi nje, rudi kwa Nape kuanzia chini hadi anasoma INDIA.
Vuta kumbukumbu Ben Saanane kabla ya kupotea alikuwa Anasema yeye alisoma na Nape Nnauye INDIA japo vyuo tofauti Lakini uwezo wa Nape Nnauye ulikuwa mdogo kwa wanafunzi kutoka Afrika, sema akiwa INDIA alikuwa na pesa chafu za nyumbani na alikuwa mtu wa kujiona, special, kujisikia na kuona yeye ndo kila kitu.

Pigo la Nape na January Makamba Ni kujisikia na kujiona special na kuona wanaweza kufanya Chochote na ndo Maana hata historia ya vuguvugu la uhasi Ndani ya CCM Kipindi cha CCJ huwakosi watu hao, Lakini ukitizama Nape Nnauye Kuanzia akiwa Waziri wa Habari yeye alikuwa Ni mtu wa mgeni rasmi, kuzindua makongamano, Mara seminar Yaani Ni sanaa, Utapeli, suti nk na ndo Maana kila akitumbuliwa na Kuanzia JPM mpka SSM alikuwa ukumbini mgeni rasmi.

Mwisho January Makamba na Nape Nnauye Ni Viongozi wa kujikweza na Wana uwezo mdogo Katika utendaji wao, angalieni wizara zoote waliopita walishindwa kudeliver kwa ajili ya nchi bali walijitengenezea kesho yao nzuri na wapambe wao.
Samia anao mzigo wa Kikwete mabegani mwake, anashindwa kufanya kazi kwa uhuru pembeni kikiwepo kivuli cha JK.

Naamini akishinda uchaguzi 2025 atakuwa na uhuru mwingi zaidi kikazi. Hatakuwa tena na kivuli cha mstaafu ambaye ana kundi kubwa la mtandao wake wa zamani alipokuwa Rais wa JMT.
 
Back
Top Bottom