N nuporo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2018 Posts 1,534 Reaction score 3,387 Jul 22, 2024 #1 Nape na makamba kurudi CCM kuchukua Nafasi za uenes na ukatibu. Baada ya Tenguzi katika nafasi zao za Uwaziri January Makamba na mwenzake Nape watapangiwa majukumu katika Chama kutokana na uzoefu wao katika kazi hasa nyakati za uchaguzi mkuu.
Nape na makamba kurudi CCM kuchukua Nafasi za uenes na ukatibu. Baada ya Tenguzi katika nafasi zao za Uwaziri January Makamba na mwenzake Nape watapangiwa majukumu katika Chama kutokana na uzoefu wao katika kazi hasa nyakati za uchaguzi mkuu.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jul 22, 2024 #2 Bwashee imetoka hiyo πππ
S Salary Slip Platinum Member Joined Apr 3, 2012 Posts 49,390 Reaction score 152,301 Jul 22, 2024 #3 Pwagu na Pwaguzi.
I Ighughuyi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2023 Posts 306 Reaction score 666 Jul 22, 2024 #4 Hili Kwa Tanzania inawezekana hata kesho NAPE NI MWENEZI, MAKAMBA KATIBU MKUU
I Ighughuyi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2023 Posts 306 Reaction score 666 Jul 22, 2024 #5 Hili Kwa Tanzania inawezekana hata kesho NAPE NI MWENEZI, MAKAMBA KATIBU
I Ighughuyi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2023 Posts 306 Reaction score 666 Jul 22, 2024 #6 Hili Kwa Tanzania inawezekana hata kesho NAPE NI MWENEZI, MAKAMBA
T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 Jul 22, 2024 #7 Akitaka Rais aanguke ajichanganye awape kazi kwenye chama hawa siyo watu wazuri. Ni double standards.
Akitaka Rais aanguke ajichanganye awape kazi kwenye chama hawa siyo watu wazuri. Ni double standards.