GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nakumbuka Makamba nilikuambia hapa hapa kuwa kitendo tu na kutolewa kwako kule Wizara ya Nishati Mama alikuwa anakutafutia tu Timing ili akumaliza mazima kwa tabia zako za kujifanya uko naye wakati huku chini chini Unamsnichi na ukiendelea na mchakato wako wa Kujipanga kisirisiri ndani ya Chama kwa 2025 na hasa 2030 huku kama kawaida yako ukiwa unaongozwa na Dharau, Ujivuni mwingi huku ukizitegemea sana zile mbinu zako za Wazee wa Simba na Yanga za nje ya Uwanja kukusaidia.
Nakumbuka pia kwa Nape nilikuambia kuwa huna muda mrefu ndani ya Baraza lake kwani licha ya kuwa huna Uwezo wowote ule zaidi tu ya ujanja ujanja ila pia ulikuwa ni Ndumilakuwili kwa Mama hasa kwa kupenda kumpiga Majungu na wale baadhi ambao aliwaweka Kando na hukujua kuwa ulikuwa Unafuatiliwa.
Na juzi ukajichanga kwa Ujuha wako Mama akaona hapo hapo amalize Shughuli kabisa, na nina taarifa kuwa kuna rafiki yako mmoja (Kaka wa Bosi wa Media Kubwa ya Mikocheni) Daktari ambaye ni Rafiki yako alikuonya mno Nyendo zako ukampuuza.
Ombi langu Wateuliwa wote Tanzania pendeni sana kusoma Mada za Waliobarikiwa Upeo na Akili hapa JamiiForums.
Poleni sana.
Pia soma > News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Nakumbuka pia kwa Nape nilikuambia kuwa huna muda mrefu ndani ya Baraza lake kwani licha ya kuwa huna Uwezo wowote ule zaidi tu ya ujanja ujanja ila pia ulikuwa ni Ndumilakuwili kwa Mama hasa kwa kupenda kumpiga Majungu na wale baadhi ambao aliwaweka Kando na hukujua kuwa ulikuwa Unafuatiliwa.
Na juzi ukajichanga kwa Ujuha wako Mama akaona hapo hapo amalize Shughuli kabisa, na nina taarifa kuwa kuna rafiki yako mmoja (Kaka wa Bosi wa Media Kubwa ya Mikocheni) Daktari ambaye ni Rafiki yako alikuonya mno Nyendo zako ukampuuza.
Ombi langu Wateuliwa wote Tanzania pendeni sana kusoma Mada za Waliobarikiwa Upeo na Akili hapa JamiiForums.
Poleni sana.
Pia soma > News Alert: - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari