Nape na Makamba ni Mada ya kujadili hii wiki yote jumlisha mada ya Yanga na Simba. Sisi ni wajinga sana

Nape na Makamba ni Mada ya kujadili hii wiki yote jumlisha mada ya Yanga na Simba. Sisi ni wajinga sana

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
CCM ni wajanja sana, na hii awamu ya Mama wamekuwa wabunifu zaidi na zaidi. Unaambiwa wajinga wape msosi washibe na baada ya hapo watafutia michezo au Mada then waachie hapo watajadilu hadi kufikia kupigana.

Mada ya wiki imetoka na hii itakuwa sapoted na mada za Yanga na Simba, huu ndio ujinga tutadiscus wiki nzima tukipumzika tunawekewa mada za Yanga na Simba. Maswala serious ya hii nchi hutayasikia.

Matukio yakututengeneza Mada za kila wiki yapo sana awamu hii, na hii sio kwa bahati mbaya bali ni makusudi kabisa ili wajinga sisi tuwe busy.

wiki hii ni Flash disc ya Nape na Makamba na itakuwa sapoted na Flash disc ya Yanga na Simba.

Mada ya wiki ijayo hope isha kamilika inangoja muda tu.

Mambo serious kama Ufisadi, Upigaji wa pesa BOT, Maisha magumu, hutayasikia tena, bali tutakuwa busy na Nape na Makamba Juniour.

Wakati Wakenya wakiendelea na movement ya mabadiliko kule kwao sisi tuna letewa Mada za kujadili.

Leo kuanzia vijiwe vya kahawa, tangawizi, kwenye daladaka, media zote, mada ni Nape na Makamba, tukichoka tunawekewa Yanga na Simba.

Wajanja wanaendelea kugawana nchi na kupiga nchi kwa ufisadi wajinga tunaundiwa topic za kujadili.
 
CCM ni wajanja sana, na hii awamu ya Mama wamekuwa wabunifu zaidi na zaidi. Unaambiwa wajinga wape msosi washibe na baada ya hapo watafutia michezo au Mada then waachie hapo watajadilu hadi kufikia kupigana.

Mada ya wiki imetoka na hii itakuwa sapoted na mada za Yanga na Simba, huu ndio ujinga tutadiscus wiki nzima tukipumzika tunawekewa mada za Yanga na Simba. Maswala serious ya hii nchi hutayasikia.

Matukio yakututengeneza Mada za kila wiki yapo sana awamu hii, na hii sio kwa bahati mbaya bali ni makusudi kabisa ili wajinga sisi tuwe busy.

wiki hii ni Flash disc ya Nape na Makamba na itakuwa sapoted na Flash disc ya Yanga na Simba.

Mada ya wiki ijayo hope isha kamilika inangoja muda tu.

Mambo serious kama Ufisadi, Upigaji wa pesa BOT, Maisha magumu, hutayasikia tena, bali tutakuwa busy na Nape na Makamba Juniour.

Wakati Wakenya wakiendelea na movement ya mabadiliko kule kwao sisi tuna letewa Mada za kujadili.

Leo kuanzia vijiwe vya kahawa, tangawizi, kwenye daladaka, media zote, mada ni Nape na Makamba, tukichoka tunawekewa Yanga na Simba.

Wajanja wanaendelea kugawana nchi na kupiga nchi kwa ufisadi wajinga tunaundiwa topic za kujadili.
Na wewe umeiendeleza.

Umeshindwa kuanzisha maada unayoona ya maana.
 
Ccm ni ya hovyo sana!
CCM ni wajanja sana, na hii awamu ya Mama wamekuwa wabunifu zaidi na zaidi. Unaambiwa wajinga wape msosi washibe na baada ya hapo watafutia michezo au Mada then waachie hapo watajadilu hadi kufikia kupigana.

Mada ya wiki imetoka na hii itakuwa sapoted na mada za Yanga na Simba, huu ndio ujinga tutadiscus wiki nzima tukipumzika tunawekewa mada za Yanga na Simba. Maswala serious ya hii nchi hutayasikia.

Matukio yakututengeneza Mada za kila wiki yapo sana awamu hii, na hii sio kwa bahati mbaya bali ni makusudi kabisa ili wajinga sisi tuwe busy.

wiki hii ni Flash disc ya Nape na Makamba na itakuwa sapoted na Flash disc ya Yanga na Simba.

Mada ya wiki ijayo hope isha kamilika inangoja muda tu.

Mambo serious kama Ufisadi, Upigaji wa pesa BOT, Maisha magumu, hutayasikia tena, bali tutakuwa busy na Nape na Makamba Juniour.

Wakati Wakenya wakiendelea na movement ya mabadiliko kule kwao sisi tuna letewa Mada za kujadili.

Leo kuanzia vijiwe vya kahawa, tangawizi, kwenye daladaka, media zote, mada ni Nape na Makamba, tukichoka tunawekewa Yanga na Simba.

Wajanja wanaendelea kugawana nchi na kupiga nchi kwa ufisadi wajinga tunaundiwa topic za kujadili.
 
Mchele uko bei chini, unga bei chini, sukari bei chini, nani aandamane, tunakura kujigaragaza
 
Mkuu anzisha topic za maana uwaondoe watanzania kwenye mada zilizoandaliwa na mifumo ya kutawala nchi.
Vinginevyo tutabaki na malalamiko yasiyo na mwisho.
 
Mada zako fikirishi zina endana kabisa na user name uliyonayo.

Kiufupi tu hili taifa ni la watu wenye fahamu duni sana kama yalivyo maisha yao, na ukitaka kuwakera watu hao hebu anzisha mada yoyote muhimu inayogusa maisha yao kama vile ongezeko la ushuru wa miamala,ongezeko la tozo ambazo hazina kichwa wala miguu kwenye bidhaa mbali mbali,kuondolewa kwa bima ya watoto nk..... utawaskia watu hao wanakwambia tafuta hela serikali haitakuletea ugali nyumbani kwako.
 
Back
Top Bottom