Nape Nnauye aliwageuka wenzake akaenda kuwachoma kwa Hayati Magufuli

Nape Nnauye aliwageuka wenzake akaenda kuwachoma kwa Hayati Magufuli

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Ila hii Dunia acheni tu. Huyu Nape sijui anapokutana na Bernard Membe, Makamba, Kinana et al anawasalimiaje.

Katika Dunia epuka sana kuwa na ukaribu na mtu anayeweka pozi hii ya mikono anapokuwa na Boss wake/wenu. Baba yako, Mkubwa wenu au mtu flani mwenye uwezo.

Anayeweka hivi mikono muogope sana.ni mtu mchawi, mnafiq na mwenye husda sana. Hajiamini na mwenye nidhamu ya woga, ya kinafiq. Hachelewi kukuchoma moto,mshale au mkuki. Hachelewi kukusagia sumu.

Unadhani Nape aliongea nini kwa Magufuli mpaka Magufuli akasema amesamehe? Leo hii Nape ni Waziri tena. Halafu mnasema Uchawa haulipi.

Vyuo anzisheni course ya Uchawa inalipa sana vijana siku hizi.

Screenshot_2023-02-02-09-40-57-466_com.android.chrome~2.jpg
Screenshot_2023-02-02-09-41-36-931_com.android.chrome~2.jpg
 
Una uhakika aliwachoma? Dont u think it was a planned mission?

Pengine alienda kama mjumbe tuu wa hilo kundi Kinana.
 
Mnafiki ni mnafiki tu na hawezi kuacha unafiki, na kamwe sidhani kama anaweza kuacha!
 
That's why he died of his foolishness alicheka na sumu na akafa yeye pumbavu kabisa unachekea maadui what a stupid small fish in a big pond he was, there are always big fish in a big pond, if you are a small fish either you die very early or survive with lots of injuries.

Poor him.
 
Back
Top Bottom