Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mkuu mi naona bora ya ccm wamewaomba watanzania waendelee kutoa maoni yao lakini chadema hata hawajulikani wapo upande gani mara wajitoe mara warudi na mara wasuse sijui viongozi viongozi wao wapoje.kwa jinsi rasimu ya katiba ilivyo,chama cha mapinduz kimeonesha nia mbaya ilionayo kwa kupinga maoni yaliotolewa na wananch,nadhan ccm kuna haja ccm kuheshimu rasimu hiyo,ccm inalengo la kuleta machafuko nchini,watanzania tusikubali kurubuniwa na ccm chenye uroho wa madaraka,hakika kuweni macho na hlo,
Ina maana hiyo katiba ni ya ccm? Kumbe ndo maana ccm ilichakachua mabaraza ya katiba! Kweli tunasafari ndefu mpaka kupata katiba ya wananchi! Huwezi kulinda muungano kwa serikali mbili, vinginevyo utavunja muungano!
haya ndiyo madhara ya kukurupuka nape kasema ni ya watanzani na wanairudisha kwa wananchi ikajadiliwe na watoe maoni yao.
Umefumukia wapi wewe? We hujaona kataja hadi idada? Au siku hizi watanzania tumefikia millioni 6?(Japo pia imekosewa na kuandikwa 6000)huko kwenye vikao vyenu huwa mnalogwa muwe mazezeta,Eti ameipa kamati kazi ya kupitia vifungu vyote na kuazama ni vingapi kati ya walivyopendekeza WAO(ccm)vimefanyiwa kazi,haya ndiyo madhara ya kukurupuka nape kasema ni ya watanzani na wanairudisha kwa wananchi ikajadiliwe na watoe maoni yao.
Mkuu; wanaotaka serikali mbili hawana hoja critical kwa sasa zaidi ya kusema nyerere alipendekeza hivyo.CCM kutotaka au kutaka haitoshi. Watueleze kwa nini wanataka serikali mbili na siyo tatu au moja.
jamani hapa si ndo kuwalisha watu maneno? kwani watanzania ni wajinga kiasi cha kuambiwa cha kufanya na Nape Nnauye , binafsi nnaona kama magamba wameteleza, toeni maoni yenu kama chama then na wananchi watatoa ya kwao