Wanasiasa wetu ni wachumia tuHana mudamrefu naye.
Hawana uwezo wa kujipatia fedha nje ya madaraka ya nchi.
Hawaendi hao.utasubiri sanaMovie bado haijaisha...lazma watimbe pale
Niliwaambia wale waliokuwa wanapiga tarumbeta akina ally hapi ipo siku wataumbuka, hawa watapatana
Lengo kudhalilishwa kwanza, shida ya hawa watoto wa vigogo walizoea kubebwa. .Mbona ameshukia mbali na makaz ya Rais akaanza kutembea kwa miguu? Uku tunaonaga wageni wengine wanashushwa mbaka karibia na ngazi za kuingia ndani ikulu.
Wako baadhi ya wanasiasa wanacheza mchezo wa kisiasa kama unaangalia zile seasons za kikorea....Huwa naziangalia sana zile movie za kikorea...zinafundisha mambo mengi sana kwenye maisha ya kisiasa kuhusu Uaminifu, fitina, unafiki, uzalendo, mikakati, majungu, ushujaa/ujasiri, ubinafsi, uoneu, ubabe, ulimbukeni, ukabila, ufisadi, wizi, ukweli halisi, utaifa na kadhalika.
Political masturbation.Jamaa mi arrogant sana
Sa unamsamehe mtu hafu unatangaza kwenye media
So what ?
Ili iweje
Yalioyoongelewa ni kweli ama uongo ?
Ni Ni kwa vyama vyote, nimekumbuka swala la mbunge wa ubungo kubenea Na wa moshi kom kuomba radhi chadema. Nape kaomba kwa jpm badala ya chama dah"Ndugu wakigombana Chukua Jembe Ukalime" Wahenga katika misemo Yao walikua na akili nyingi.
Hii iwe Funzo kwa wapenzi na washabiki wa CHADEMA ambao kutwa kuchwa walikua hawaishi kushabikia hekaya za WanaCCM.
CCM inapofika suala la Maslahi Yao huacha yote na kurudi kwenye Maslahi ya chama Chao.
Kweli mkuu. Kwanza Mwanasiasa yeyote hana urafiki/uadui wa kudumu. Hata Kinana naamin atapiga magoti tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana mudamrefu naye.
Hawana uwezo wa kujipatia fedha nje ya madaraka ya nchi.
Bado Lisu.
Kashashinda mbona na kuna mkakati wa kumuongeza miaka mingine 10 baada ya 2025[emoji23][emoji23]Hahaha
Kwa hizi dalili Magufuli anaenda kushinda 95%
Mi natamani angefukuzwa ccm kabisa.Halafu 2020 Nape anakatwa kugombania ubunge ...nitacheka Mimi😂😂😂😂
Uyo kenge lazima atagonga goti tuuh,anapenda kujidai kibri sanaBado Lisu.
Hiyo ni nature ya binadamu wote mkuu ndio sababu ukomunisti ulifeli. Cha ajabu waasisi wa ukomunisti nao walikua wanatafuta maslahi binafsiKitendo cha Nape kuomba msamaha hakuna mslahi kwa taifa zaidi ya chama chake Na yeye binafsi.wanasiasa muda mwingi wanaongozwa Na maslahi binafsi...