Nape Nnauye kama January Makamba, maji ya shingo yamfika. Amuangukia Rais Magufuli baada ya kumnanga

He has qualified with all characteristics of NAZISM
 
Nape amefanya alichostahili. Huyo jamaa ni mwenyekiti na rais wa nchi . ana uwezo wa kihalali na hata kihalifu (unaolindwa au usiolindwa na sheria) wa kumshughulikia yeyote anayeamua kumshughulikia.
Kumbe kudukuana kihuni kulikofanywa kuna faida yake.

Tusingelisikia tuliyoyasikia, wasingejikosha kwa kulamba miguu na tungesikia wanatajwa kumkosea rais, wangelikanusha kwa kushupaza shingo zao kibishi.

Lakini sauti zao zilivyofahamika kwa asilimia zaidi ya 100, wee! Jamaa wakatepeta na kuwa wapole kama muku wa mayai.
 
Wana JF, tumuonee huruma huyu Nape, mtu kapigiwa simu akiwa DDma, anaambiwa aje anahitajika kwa bosi, akadhalilishwa na kutangazwa na akasutwa hadharani.

Tulitaka asemeje mbele ya kiboko wa Ccm, kwamba Baba usemayo hayapo.

Tuwe na akili na tuwaache watu wamesameheana.
 
Hivi unajua kuwa Nape jimboni kwake hawamtaki. mpaka ilifika hatua akahamisha na makazi yake ?
 
bomba anapigwa basha...... kwa kuharibu njia ya mkojo
umetoka vijijini nawe unajifanya kidume..
jichovye unuse
Sasa umekuwa mxng baridi kama yule anaejiita nabii tito, unapigwa na kupiga.
Hapo uislam safi uko wapi sasa?
 
Ule maana has wa Nape ndiyo matokeo ya kuapishwa kwa Diwali. Si huyo tu, nisikiavyo na wastaafu wenye heshima kubwa wako ndani. Sasa sijui watakaribia kiti cha maungamo!

Ule maana has wa Nape umeniacha kidogo my lovely...!
 
Ule masamaha wa Nape ndiyo matokeo ya kuapishwa kwa Diwani. Si huyo tu, nisikiavyo na wastaafu wenye heshima kubwa wako ndani. Sasa sijui watakaribia kiti cha maungamo!
Dada habari yako? Samahani upo "single" ama? Muda huu shemeji hayupo hapo pembeni, au?
 
MODS WATAKUWA WAMELALA NINI?? MANAKE NYUZI KAMA HIZI HUWA HAWAZIACHII HATA SEKUNDE MOJA
 
Ule masamaha wa Nape ndiyo matokeo ya kuapishwa kwa Diwani. Si huyo tu, nisikiavyo na wastaafu wenye heshima kubwa wamo ndani. Sasa sijui watakaribia kiti cha maungamo!
inaonesha upo single kama mm hebu njoo inbox tuyajenge[emoji41]
 
msamaha lazma waombe na bado kuna wengine pia wataenda kuomba msamaha
hii ni kutokana na kale kamsemo kasemavyo"Mwisho Wa Ubaya Ni Aibu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…