Tetesi: Nape Nnauye kuhamia CHADEMA?

List of shame EL ndio namba one lakini alipokelewa bila shida itakuwa huyu kwa kuitwa VUVUZELA tu. Chadema wanaangalia fursa na mtaji wa wapiga kura tu.
 
...na aende tu, kuna wale wazee wengine walishatangulia huko.
 
nape ni jinga sana. nili assume alikubali heshima aliyopewa sikufuatilia zaidi. nimeshangaa sana kujua eti alitembea juu ya migongo ya wale kina mama. hapo ndio ujue jamaa kichwa kubwa akili hakuna.
 
...akili za kibashite bashite ni shidaa ...maelezo mengii ...umbea mtupu ...
 
Pole sana mtoa post...inaonekana una maumivu juu ya nape
 
Wewe ulifeli std 7 .....hata kufaulu kwenda form one ulishindwa..mamlaka ya kupotosha wenye akili umetoa wapi??
 
Ahamie tu Cdm, kule kuna mtambo maalum wa kusafisha watu, watamsafisha kashfa zake zote atakuwa mpya
 
Unasema ni tetesi halafu unatuuliza tena sisi
We jinga sana , Nape alishasema hahami CCM labda mmfukuze tu.
 
Vyeti Vya Bashite Vinahitajika Haraka
Tuvione Hadharani Halafu Ashtakiwe Kwa Kumdanganya Baba J
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…