John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuhusu bunge live, anafafanua:
"Spika wa Bunge, Tulia Ackson alisema hili jambo linazungumzika na tutajadiliana na Serikali tuone namna ya kulifanya liende.
“Studio ya bunge ndiyo inaamua warushe vipi matangazo najua kwa mfano nchi ya Afrika ya Kusini wana'delay' fulani yaani kwamba wanarusha live bunge lakini kuna 'delay' ya dakika 15 au nusu saa hako ka 'delay' kanawapa room wabunge waone kama katafaa kwenda hewani.
“Kwa mfano ikatokea wabunge wanarushiana maneno machafu bungeni na tumeona baadhi ya wabunge ya wenzetu wanapigana sasa vitu kama vile havipeleki sura nzuri.
“Kupeleka dakika 15 au nusu saa siyo mbaya lakini isipitilize na kuwe na utaratibu kwamba kama kuna jambo fulani la kujadili na wabunge wakaona linafaa tu kujadiliwa ndani.
“Suhuhisho ni kanuni ya kuendesha studio ya bunge ambayo ni kazi ya bunge."
"Spika wa Bunge, Tulia Ackson alisema hili jambo linazungumzika na tutajadiliana na Serikali tuone namna ya kulifanya liende.
“Studio ya bunge ndiyo inaamua warushe vipi matangazo najua kwa mfano nchi ya Afrika ya Kusini wana'delay' fulani yaani kwamba wanarusha live bunge lakini kuna 'delay' ya dakika 15 au nusu saa hako ka 'delay' kanawapa room wabunge waone kama katafaa kwenda hewani.
“Kwa mfano ikatokea wabunge wanarushiana maneno machafu bungeni na tumeona baadhi ya wabunge ya wenzetu wanapigana sasa vitu kama vile havipeleki sura nzuri.
“Kupeleka dakika 15 au nusu saa siyo mbaya lakini isipitilize na kuwe na utaratibu kwamba kama kuna jambo fulani la kujadili na wabunge wakaona linafaa tu kujadiliwa ndani.
“Suhuhisho ni kanuni ya kuendesha studio ya bunge ambayo ni kazi ya bunge."