Nape Nnauye: Mwiba ulipoingilia ndipo unapotokea

Nape Nnauye: Mwiba ulipoingilia ndipo unapotokea

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Maxence Melo na wenzio tembeeni kifua mbele Nchi inawaunga Mkono. Ni maneno yake Nape Waziri mwenye akili nyingi aliyoyaongea wakati wa Uzinduzi wa Jamiicheck ya Jamiiforums na Utangazaji wa Washindi wa Stories of change.

Hongera sana kaka Nape kwa kusema kwamba rais Samia ni Muungwana.
 
Back
Top Bottom