figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Maxence Melo na wenzio tembeeni kifua mbele Nchi inawaunga Mkono. Ni maneno yake Nape Waziri mwenye akili nyingi aliyoyaongea wakati wa Uzinduzi wa Jamiicheck ya Jamiiforums na Utangazaji wa Washindi wa Stories of change.
Hongera sana kaka Nape kwa kusema kwamba rais Samia ni Muungwana.
Hongera sana kaka Nape kwa kusema kwamba rais Samia ni Muungwana.