Nape Nnauye: Napandisha intaneti kilele cha Mlima Kilimanjaro

Nape Nnauye: Napandisha intaneti kilele cha Mlima Kilimanjaro

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Waziri wa Habari, Mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye leo anatarajiwa kuzindua huduma za mawasiliano ya Internet zitakazokuwa zikipatikana kwenye Mlima Kilimanjaro.

Kwenye ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape ameandika yafuatayo ———> “Leo juu ya Mlima Kilimanjaro napandisha mawasiliano ya Internet yenye kasi (broadband) kwenye paa la Afrika”

“Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, tunakwenda uhuru peak, #royaltourcompliment #royaltour @ SuluhuSamia” ——— amemalizia Nape Nnauye

1660639617485.png

 
Wenzetu kwenye milima mirefu duniani walishaweka hiyo kitu miaka mingi nyuma,yeye anatoka povu leo!!
Yaani Tz kuna vitu tunajisifia wenzetu wanatuona makima.
Unamaanisha kwa vile kuna watu walianzisha forum miaka ya tisin na zinabamba mpaka leo na zina memba mamilion kwa hiyo melo hapasw kujipongeza kwa jf aliyoianzisha miaka ya buku be.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye leo anatarajiwa kuzindua huduma za mawasiliano ya Internet zitakazokuwa zikipatikana kwenye Mlima Kilimanjaro.

Kwenye ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape ameandika yafuatayo ———> “Leo juu ya Mlima Kilimanjaro napandisha mawasiliano ya Internet yenye kasi (broadband) kwenye paa la Afrika”

“Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, tunakwenda uhuru peak, #royaltourcompliment #royaltour @ SuluhuSamia” ——— amemalizia Nape Nnauye

Anamaanisha anapandisha terna gharama za internet kileleni au sijaelewa.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi kila mtu kwenye hii nchi akianza kujisifia majukumu yake tutafika kweli?

Yani doctor aweke mtandaoni niko hapa ndo nachoma Sindano huyu mgonjwa apone.. au polisi niko bank hapa kwenye Lindo nalinda wasivamie bank.. kudadadeki

Yani kupandisha gharama za Internet nayo imekuwa sifa eti..

Kama gharama ilikuwa ni kutokana na mafuta mbona kwenye soko ladunia tayari gharama zimeshuka!
 
Anafanya siasa nyepesi.

Nape ni clown politician

Pretender tu Wala sio visionary.

Sio ajabu alikuwa analia Lia na kumpigia magoti jiwe
 
Back
Top Bottom