Jimboni kwake kuna shule mbovu sana toka mkoloni kuna mwanajf aliwahi irusha, yeye anahangaika na internet Mlimani!
Unamaanisha kwa vile kuna watu walianzisha forum miaka ya tisin na zinabamba mpaka leo na zina memba mamilion kwa hiyo melo hapasw kujipongeza kwa jf aliyoianzisha miaka ya buku be.Wenzetu kwenye milima mirefu duniani walishaweka hiyo kitu miaka mingi nyuma,yeye anatoka povu leo!!
Yaani Tz kuna vitu tunajisifia wenzetu wanatuona makima.
Anamaanisha anapandisha terna gharama za internet kileleni au sijaelewa.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waziri wa Habari, Mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye leo anatarajiwa kuzindua huduma za mawasiliano ya Internet zitakazokuwa zikipatikana kwenye Mlima Kilimanjaro.
Kwenye ukurasa wake wa Twitter Waziri Nape ameandika yafuatayo ———> “Leo juu ya Mlima Kilimanjaro napandisha mawasiliano ya Internet yenye kasi (broadband) kwenye paa la Afrika”
“Watalii sasa wanaweza kuwasiliana duniani kote toka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, tunakwenda uhuru peak, #royaltourcompliment #royaltour @ SuluhuSamia” ——— amemalizia Nape Nnauye
Bwasheh naona hawa mawazir wanashambuliwa Sana [emoji1]Ni jambo jema
2025Bwasheh naona hawa mawazir wanashambuliwa Sana [emoji1]
Hivi kwanini bwasheh
Ova
Ongezea hii...Umeniwahi mkuu watu wake wanakunywa maji ya kumkamua chura mtoni.....Jimboni kwake kuna shule mbovu sana toka mkoloni kuna mwanajf aliwahi irusha, yeye anahangaika na internet Mlimani!
Kashindwa kushusha gaharama za vifurushi huko kupandisha sio kazi yake
Ukimwambia hivi kule twitter anakujibu leta ushahidi
Hii kitu ni[emoji706][emoji706]