Unawashwawashwa tutamwambia mdude akuletee mdude akukune.Hao kina mdude mtawacha wamtukane Rais
USSR
Tusi gani alilowahi kutukana? Ukiambiwa ukweli jinsi ulivyo, haliwi tusi. Mathalani ukisema kiongozi wa awamu ya 5 alikuwa dikteta, muaji, mwongo na mwizi, haliwi tusi, maana ndivyo alivyokuwa.Hao kina mdude mtawacha wamtukane Rais
USSR
Atakunwa pia!Hao kina mdude mtawacha wamtukane Rais
USSR
Ulitaka akuache ukihatarisha amani ya nchi? Mbona we haujauawa? Kuhusu udikteta mbona bosi wenu alikuwa anamuita dikteta uchwara. Lini alikuwa dikteta?Tusi gani alilowahi kutukana? Ukiambiwa ukweli jinsi ulivyo, haliwi tusi. Mathalani ukisema kiongozi wa awamu ya 5 alikuwa dikteta, muaji, mwongo na mwizi, haliwi tusi, maana ndivyo alivyokuwa.