Nape Nnauye: Serikali itasimamia na kulinda Uhuru wa Kujieleza

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731

Serikali kupitia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye imesema, inakusudia kuvifanya vyombo vya habari nchini kufanya kazi kwa uhuru na kwamba, haitaviingilia kwenye uhuru wao.

Waziri Nape amesema, Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari yaliowasilishwa bungeni tarehe 10 Februari 2023, yanalenga kuimarisha uhuru wa kujieleza nchini.

“Serikali itasimamia na kulinda uhuru wa kujieleza Itahakikisha inafanya kila linalowezekana kulinda haki hiyo"

Chanzo: EATV
 
Hao kina mdude mtawacha wamtukane Rais

USSR
 
Reactions: MTK
Hao kina mdude mtawacha wamtukane Rais

USSR
Tusi gani alilowahi kutukana? Ukiambiwa ukweli jinsi ulivyo, haliwi tusi. Mathalani ukisema kiongozi wa awamu ya 5 alikuwa dikteta, muaji, mwongo na mwizi, haliwi tusi, maana ndivyo alivyokuwa.
 
Kwamba Taarfa za uchaguzi ztakua peupe pee hata kama wameiba sanduku la kura?
 
Kwahiyo CLUB HOUSE IMEFUNGWA BAHATI MBAYA? Nape hajielewi!
 
Airtel,Vodacom,Tigo na halotel wanashirikiana na nape kuwahujumu wananchi hawa ni majangili
 
Tusi gani alilowahi kutukana? Ukiambiwa ukweli jinsi ulivyo, haliwi tusi. Mathalani ukisema kiongozi wa awamu ya 5 alikuwa dikteta, muaji, mwongo na mwizi, haliwi tusi, maana ndivyo alivyokuwa.
Ulitaka akuache ukihatarisha amani ya nchi? Mbona we haujauawa? Kuhusu udikteta mbona bosi wenu alikuwa anamuita dikteta uchwara. Lini alikuwa dikteta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…