Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Waziri wa habari, Nape Nnauye akizungumza kwenye kongamano la habari leo, tar. 17, 12, 2022 lenye kauli mbiu isemayo, habari kwa maendeleo endelevu.
Nape amesema, rasilimali za Taifa kutumika vibaya ni kwasababu wanahabari wamefumba macho, hawatumii kalamu zao kuibua ubadhilifu.
Amesema wanahabari wakitumia kalamu zao vyema nchi itapata maendeleo kwa kuwa kila rasilimali itatumika vyema kwa maendeleo ya nchi.
Amewaasa wanahabari kutumia kalamu zao kusaidia nchi kupata maendeleo kwa kuandika habari zenye tija, na kufichua maovu yaliyofichika katika matimizi ya rasilimali za nchi.
Nape amesema, rasilimali za Taifa kutumika vibaya ni kwasababu wanahabari wamefumba macho, hawatumii kalamu zao kuibua ubadhilifu.
Amesema wanahabari wakitumia kalamu zao vyema nchi itapata maendeleo kwa kuwa kila rasilimali itatumika vyema kwa maendeleo ya nchi.
Amewaasa wanahabari kutumia kalamu zao kusaidia nchi kupata maendeleo kwa kuandika habari zenye tija, na kufichua maovu yaliyofichika katika matimizi ya rasilimali za nchi.