Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona ulivyo na akili kidogo , huu Uzi umekuzidi GPA hapa tunazunguzia cyber security wewe unaleta sijui umri nani kasema hawa waliathirika ni watoto ,tangu lini mtoto akataka mkopo wapi nimesema mkopo ,tumia akili tunawapigania watu wasio elewa huu utapeliSasa wewe unailaumu vipi serikali. Watanzania ni watoto wadogo hadi wakakope kipe kipumbavu? Acha waibiwe maana nnachojua masharti ya mkopo wowote ni umri kuanzia miaka 18. Sasa nani huwa anashikiwa bastola akakope? My country people are dumb acha wakombwe
Nimegundua hakuna kazi ngumu kama kuelimisha wajinga kwa sababu Waswahili wanakuambia Wajinga Hawaishi na wazungu wanakuambia suckers are BORN every minute. Ukitaka kufanikiwa haraka wekeza kwa wajinga. Wajinga ndio waliwaoSasa wewe unailaumu vipi serikali. Watanzania ni watoto wadogo hadi wakakope kipe kipumbavu? Acha waibiwe maana nnachojua masharti ya mkopo wowote ni umri kuanzia miaka 18. Sasa nani huwa anashikiwa bastola akakope? My country people are dumb acha wakombwe
Unakopaje online? Unafanyaje transactions za mikopo kwa mtandao? Hata kichaa angesanuka. Watu wanaibiwa kijinga wanakuja kufoka foka mitandaoni. Kwani financial institutions zenye ofisi zimepakwa kinyesi nje?Nimegundua hakuna kazi ngumu kama kuelimisha wajinga kwa sababu Waswahili wanakuambia Wajinga Hawaishi na wazungu wanakuambia suckers are BORN every minute. Ukitaka kufanikiwa haraka wekeza kwa wajinga. Wajinga ndio waliwao
Nimegundua unakichwa MJI Tena mazito sana nahofu hata kusoma hukusomaUnakopaje online? Unafanyaje transactions za mikopo kwa mtandao? Hata kichaa angesanuka. Watu wanaibiwa kijinga wanakuja kufoka foka mitandaoni. Kwani financial institutions zenye ofisi zimepakwa kinyesi nje?
Na mimi ndo nakwambia hao voiceless sio kwamba hawajui. Wewe unakopaje hela online kwenye kampuni ambayo hujawahi hata kuiskia! Unaniita tapeli nimewatetea wapi? Wewe na hao wanaokuja kutapeli watu mitandaoni na wakopaji wote ni wajinga. Mjinga ni mjinga tu!! Unataka serikali ifanye nini? Kwasababu mtu analizwa ilaNimekwambia Mimi au watanzania wasio na uelewa wanibiwa ,dada uwe unasoma na kuelewa au na wewe ni tapeli unakuna kuwatetea hapa
Watanzania wanaibiwa wanadanganywa mikopo ya online Kisha wanakimbiwa ,wewe ni kiazi soma uelewa wapi nimesema nikiomba mkopo this is voice for voiceless
USSR
Wewe mwenye elimu kiswahili tu kinakushinda.Nimegundua unakichwa MJI Tena mazito sana nahofu hata kusoma hukusoma
USSR
Hii ni jinai ya waziKiswahili gani ulichonacho hata I'd tu umeandika upuuzi mtuu unaunganisha majina unajiita unajua kiswahili eti mpendaamani ndio upuuzi gani
USSR View attachment 2435717
You’re one of the dumbest creatures I’ve ever encountered. Unakuta umemaliza chuo in the recent three years basi unajiona msomi.Kiswahili gani ulichonacho hata I'd tu umeandika upuuzi mtuu unaunganisha majina unajiita unajua kiswahili eti mpendaamani ndio upuuzi gani
USSR View attachment 2435717