DOKEZO Nape,TCRA, DCI na wote wa cyber security mmeshindwa kuumliza huu mtandano wa kopa fasta

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Siunsona umerahisisha kupatikana kwao,utaona kama hatua stahki zitachukuliwa.Watu wanaweza kutrakiwa kabisa,lakini wanaachwa.
 
Sasa wewe unailaumu vipi serikali. Watanzania ni watoto wadogo hadi wakakope kipe kipumbavu? Acha waibiwe maana nnachojua masharti ya mkopo wowote ni umri kuanzia miaka 18. Sasa nani huwa anashikiwa bastola akakope? My country people are dumb acha wakombwe
 
Unaona ulivyo na akili kidogo , huu Uzi umekuzidi GPA hapa tunazunguzia cyber security wewe unaleta sijui umri nani kasema hawa waliathirika ni watoto ,tangu lini mtoto akataka mkopo wapi nimesema mkopo ,tumia akili tunawapigania watu wasio elewa huu utapeli


USSR
 
Nimegundua hakuna kazi ngumu kama kuelimisha wajinga kwa sababu Waswahili wanakuambia Wajinga Hawaishi na wazungu wanakuambia suckers are BORN every minute. Ukitaka kufanikiwa haraka wekeza kwa wajinga. Wajinga ndio waliwao
 
Nimegundua hakuna kazi ngumu kama kuelimisha wajinga kwa sababu Waswahili wanakuambia Wajinga Hawaishi na wazungu wanakuambia suckers are BORN every minute. Ukitaka kufanikiwa haraka wekeza kwa wajinga. Wajinga ndio waliwao
Unakopaje online? Unafanyaje transactions za mikopo kwa mtandao? Hata kichaa angesanuka. Watu wanaibiwa kijinga wanakuja kufoka foka mitandaoni. Kwani financial institutions zenye ofisi zimepakwa kinyesi nje?
 
Unakopaje online? Unafanyaje transactions za mikopo kwa mtandao? Hata kichaa angesanuka. Watu wanaibiwa kijinga wanakuja kufoka foka mitandaoni. Kwani financial institutions zenye ofisi zimepakwa kinyesi nje?
Nimegundua unakichwa MJI Tena mazito sana nahofu hata kusoma hukusoma


USSR
 
Na mimi ndo nakwambia hao voiceless sio kwamba hawajui. Wewe unakopaje hela online kwenye kampuni ambayo hujawahi hata kuiskia! Unaniita tapeli nimewatetea wapi? Wewe na hao wanaokuja kutapeli watu mitandaoni na wakopaji wote ni wajinga. Mjinga ni mjinga tu!! Unataka serikali ifanye nini? Kwasababu mtu analizwa ila
Ikija kampuni nyingine bado anakopa!
 
Wewe mwenye elimu kiswahili tu kinakushinda.
Kiswahili gani ulichonacho hata I'd tu umeandika upuuzi mtuu unaunganisha majina unajiita unajua kiswahili eti mpendaamani ndio upuuzi gani

USSR
 
Kiswahili gani ulichonacho hata I'd tu umeandika upuuzi mtuu unaunganisha majina unajiita unajua kiswahili eti mpendaamani ndio upuuzi gani

USSR View attachment 2435717
You’re one of the dumbest creatures I’ve ever encountered. Unakuta umemaliza chuo in the recent three years basi unajiona msomi.

Utakuta familia yako ina upumbavu wameibiwa ndo maana unakuja kufoka foka humu. Umewahi kuona wapi mkopo unatolewa in 30 minutes. We ni form four leaver? Eboo!

Na kuhusu my ID isome unavyotaka kama hiko ni kipimo cha uwezo wa akili then go back to school. You need alot of growing.

Kama kuna wapumbavu wenzio wameibiwa kupitia mtandao undeni kikundi andamaneni hadi ikulu msikitike kwa upumbavu wenu. nincompoop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…