Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Amesema maelekezo hayo pia yanahusisha Kitengo cha Cyber Crime Unit ili kujua wahusika wanapata wapi namba wanazotumia kusmabaza ujumbe baada ya kushindwa kulipana kwa kuwa ni kinyume cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.
Nape amesema hayo Bungeni, leo Juni 27, 2024.
Pia soma:
