Nape: Tutaongea na Guinness watuweke kwenye rekodi ya dunia kwa kuweka mawasiliano Uhuru Peak

Nape: Tutaongea na Guinness watuweke kwenye rekodi ya dunia kwa kuweka mawasiliano Uhuru Peak

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Tanzania imekuwa ni nchi ya kwanza kuweka mtandao katika kilele cha mlima mrefu. Rekodi hiyo imekwa baada ya serikali kuweka mtandao katika kilele cha mlima Kilimanjaro ambalo limeifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza kufanya hivyo.

Akizungumza katika kongamano la maendeleo ya sekta ya habari 2022, waziri amesema wataongea na Guinness book of record ili kuangalia namna ya kuiweka Tanzania kwenye rekodi ya dunia kwa jambo hilo.

Wasalaam.
 
Naomba ilo jambo libadilishwe kwenye kitabu cha maajabu iwekwe kuhusu waziri nyape ni mbishi wa kutosikia bando limepanda anataka ushaidi wakati yeye ndio mwenye zamana
 
Waanze na Tanzania kuwa nchi ya kwanza duniani kwa kuzuia mikutano ya vyama halali vya siasa.
 
Back
Top Bottom