Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amezungumzia uamuzi wa Rais Samia Suluhu kuruhusu mikutano ya siasa ya vyama, ambapo amewatahadharisha Wanahabari juu ya mikutano hiyo.
Nape amesema “Rais amefungulia mikutano ya hadhara, ni matumaini yangu Wanahabari wa Tanzania watabalansi stori za mikutano hiyo, kwani tukibeba hivihivi tutawapeleka watu kusiko.
“Na siyo tu kubalansi, wakati mwingine una sababu gani ya kuchapisha matusi, mwache atoe matusi wewe ondoka zako.
“Usirekodi kila kitu, siyo kila kitu ni stori, wito wangu kwa Wanahabari uhuru uliotolewa utumike vizuri, kama ni kukosoa tukosoe kwa ukweli ili tujenge Nchi.
“Uhuru lengo lake ni kutusaidia kuwa macho katika kuhakikisha kwamba rasilimali za Nchi yetu zinawanufaisha walio wengi, hili linaweza kufanywa na Wanahabari, tusaidieni.”
Nape amesema “Rais amefungulia mikutano ya hadhara, ni matumaini yangu Wanahabari wa Tanzania watabalansi stori za mikutano hiyo, kwani tukibeba hivihivi tutawapeleka watu kusiko.
“Na siyo tu kubalansi, wakati mwingine una sababu gani ya kuchapisha matusi, mwache atoe matusi wewe ondoka zako.
“Usirekodi kila kitu, siyo kila kitu ni stori, wito wangu kwa Wanahabari uhuru uliotolewa utumike vizuri, kama ni kukosoa tukosoe kwa ukweli ili tujenge Nchi.
“Uhuru lengo lake ni kutusaidia kuwa macho katika kuhakikisha kwamba rasilimali za Nchi yetu zinawanufaisha walio wengi, hili linaweza kufanywa na Wanahabari, tusaidieni.”