LGE2024 Nape: Wapinzani wanagombana, hawana namna, Samia atakuwa Rais kwa mara nyingine tena!

LGE2024 Nape: Wapinzani wanagombana, hawana namna, Samia atakuwa Rais kwa mara nyingine tena!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mambo yanaanza kuchangamsha, bumunda karudi na makeke yake mzee ropo ropo!

=====



Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nape akiwa kwenye one and two za kujigamba katika ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, asema CCM haikwepeki, ni kama maji wasipoyanywa wataoga.

Karusha na dogo kwa akina CHADEMA, wanaishia kugombana lakini kiukweli hawana namna, sababu Samia atakuwa Rais tena.

Nape amesema hayo leo, Jumatano Novemba 20.2024 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa CCM uliolenga kufungua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mkoani Rukwa, hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa Sabato, Manispaa ya Sumbawanga
 
Hana jipya anafikiria urais wa ukoo utaendelea Samia mwisho 2025
 
kwa uelewa wangu ni kama nape nae anataka samia atoke madarakani ila wakumtoa nao hawawezi kwasababu wanagombana endapo wasipogombana wanaweza kumtoa.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
hapa mkoani ccm naona wamekuja na mabasi yamejaza raia sura ngeni kabisa haziendani na mazingira ya hapa mjini unaweza sema ni warundi sijui wanawatoa wapi.
 
Hasira za kutumbuliwa uwaziri zimeisha? Basi Nape awashauri na wenzake mzee Kinana na January Makamba watoke hadharani waache kulilia vyumbani.
 
Wakuu,

Mambo yanaanza kuchangamsha, bumunda karudi na makeke yake mzee ropo ropo!

=====

View attachment 3157104

Nape akiwa kwenye one and two za kujigamba katika ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, asema CCM haikwepeki, ni kama maji wasipoyanywa wataoga.

Karusha na dogo kwa akina CHADEMA, wanaishia kugombana lakini kiukweli hawana namna, sababu Samia atakuwa Rais tena.

Nape amesema hayo leo, Jumatano Novemba 20.2024 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa CCM uliolenga kufungua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mkoani Rukwa, hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa Sabato, Manispaa ya Sumbawanga
FB_IMG_1732143913228.jpg
 
Back
Top Bottom