Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mambo yanaanza kuchangamsha, bumunda karudi na makeke yake mzee ropo ropo!
=====
Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nape akiwa kwenye one and two za kujigamba katika ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, asema CCM haikwepeki, ni kama maji wasipoyanywa wataoga.
Karusha na dogo kwa akina CHADEMA, wanaishia kugombana lakini kiukweli hawana namna, sababu Samia atakuwa Rais tena.
Nape amesema hayo leo, Jumatano Novemba 20.2024 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa CCM uliolenga kufungua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mkoani Rukwa, hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa Sabato, Manispaa ya Sumbawanga
Mambo yanaanza kuchangamsha, bumunda karudi na makeke yake mzee ropo ropo!
=====
Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nape akiwa kwenye one and two za kujigamba katika ufunguzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa, asema CCM haikwepeki, ni kama maji wasipoyanywa wataoga.
Karusha na dogo kwa akina CHADEMA, wanaishia kugombana lakini kiukweli hawana namna, sababu Samia atakuwa Rais tena.
Nape amesema hayo leo, Jumatano Novemba 20.2024 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa CCM uliolenga kufungua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 mkoani Rukwa, hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa Sabato, Manispaa ya Sumbawanga