Napelekeshwa na makalio makubwa ya wanawake

Nimekuwa Teja la kutupwa la matako makubwa ya wanawake.Popote ninapoyaona napagawa nakuduwaa ni kama nimepigwa shoti na umeme.

Nipo tayari nifanye lolote Ili niishie kuyaminyaminya.Na sasa hivi hali imekuwa
Njoo Buguruni Malapa upone hiyo shida
 
Ni kwa muda nimeamua kukaa mbali na zinaa lakini kusema ukweli, kuna shape zikipita lazima nitoe macho, ila nimejilimit kugeuza shingo mwisho mara mbili.
 
Afu nasikia wenye big nyash wengine automatic wanakuaga na brain vipi ni kweli??
Si kweli wengi wao hawana akili, akili zote huwa zinaamia makalioni na ni wepesi kurubunika,
ila kisayansi wanadai wenye nyash huzaa watoto wenye akili, japo japo haimaanishi wasio na nyash kuzaa watoto wasio na akili,
na mfano wa magenius na mama zao no nyash
 
๐•ฎ๐–ˆ ๐–œ๐–†๐–™๐–†๐–†๐–‘๐–†๐–’๐–š ๐–œ๐–† ๐–๐–Ž๐–˜๐–†๐–Ž๐–๐–”๐–‘๐–”๐–๐–Ž๐–† ๐–œ๐–†๐–๐–š๐–˜๐–๐–†๐–š๐–—๐–Ž. ๐•ณ๐–Ž๐–‘๐–” ๐–‘๐–†๐–œ๐–Š๐–Ÿ๐–† ๐–๐–š๐–œ๐–† ๐–™๐–†๐–™๐–Ž๐–Ÿ๐–” ๐–‘๐–† ๐–๐–Ž๐–˜๐–†๐–Ž๐–๐–”๐–‘๐–”๐–๐–Ž๐–†
 
Mkuu swala la kuwa na uraibu wa kupenda matako makubwa ya wadada limekuwa changamoto kubwa sana kwa vijana. ishu hapo ni ubize kwenye kuangalia makalio ya wanawake muda wowote wanapokuwa wanakatisha mitaa ulipo.

Principle is very simple... kama ulivyoanza mazoea ya kutazama hovyo matako ya wadada kwa juhudi zote, ndivyo unavyotakiwa kuwekeza juhudi hizo hizo kupotezea kutazama hayo makalio and am sure inawezekana.

Jitese kupotezea na jaribu kukontroo akili yako pindi unapotazama hayo makalio, i mean angalia then jitahidi usiwaze kwamba unaweza kuyachakata hayo makalio kwasababu eti una uwezo, jifunze zaidi kupenda kazi na kusali kwasababu naamini kuna spiritual power pia ina contribution.

All the best.
 
Ahaaa! Hapa Nimekuelewa mkuu asante kwa ufafanuzi
 
Yanafilisi ile mbaya, kama bado hujajenga nakushauri achana na hayo mambo
 
Wanavyoyatikisa sio kwamba wanataka wanaume; bali wanataka hela kutoka kwa wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ