Napenda demu mashavu manene ila siyo kama wa Nigeria

kwa hiyo?
Au ndo banghe nibangue nipende mashavu manene?
 
Niliwahi kupanda dala dala na dent wa form one nilipotupia macho kwenye kimeo chake cha mchina nikakuta anatupia comenti kwenye JF, nilichoka kabisa.
Nikajaribu kukazia macho kiwizi wizi nijue ni nani au jukwaa lipi nilichoambulia ni kujua anatupia kwenye jukwaa la MMU.
Napita tu jamani nilikosea njia
 
Tatizo nikisema ya chini MoDs wanaweza kunipa BAN kipindi hiki cha funga mwaka naogopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…