Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
Habari wakuu,
Sijui ni ugonjwa au udhaifu yaani nikiskia harufu ya petroli yani najisikia burudani yani napenda sana niwe napita maeneo ya sheli au gari nililo panda lipite sheli huwa natoa shingo nje kuskia hii harufu.
Naomba kujua huu ni ugonjwa au ni udhaifu maana sijisikii kukerekwa lakini harufu ya mafuta ya taa sipendi hata kuisikia.
Kama ni ugonjwa je naweza tibu maana mi mwenyewe nakiona kama nina kasoro.
Kuna jamaa nasikia hupenda harufu ya soksi chafu hasaa naye huyu ana element za uchafu mwilini au?
Asanteni sana.
Habari wakuu,
Sijui ni ugonjwa au udhaifu yaani nikiskia harufu ya petroli yani najisikia burudani yani napenda sana niwe napita maeneo ya sheli au gari nililo panda lipite sheli huwa natoa shingo nje kuskia hii harufu.
Naomba kujua huu ni ugonjwa au ni udhaifu maana sijisikii kukerekwa lakini harufu ya mafuta ya taa sipendi hata kuisikia.
Kama ni ugonjwa je naweza tibu maana mi mwenyewe nakiona kama nina kasoro.
Kuna jamaa nasikia hupenda harufu ya soksi chafu hasaa naye huyu ana element za uchafu mwilini au?
Asanteni sana.