Napenda hili litokee. Je, Yanga mtakuwa upande gani?

Napenda hili litokee. Je, Yanga mtakuwa upande gani?

Hardlife

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2021
Posts
2,758
Reaction score
6,299
Ikatokea Simba na Mamelodi Sundowns wamepangwa group 1 au wanakutana robo fainali au vyovyote vile.

Je, Yanga mtamshangilia nani?
 
Nitakuwa Simba very easy question angalau Simba ashawahi kuniachia wire 5 nikatabasam
 
Nitaisapoti Simba japo nitavaa Jezi ya Ngaya
 
Watakuwa wanapiga msamba. Mguu mmoja huku mwingine kule.

Kazi kujamba tu..
 
Hata kama ikitokea ni final, nitaweka shilingi yangu kwa Simba.
 
Ikatokea Simba na Mamelodi Sundowns wamepangwa group 1 au wanakutana robo fainali au vyovyote vile.

Je, Yanga mtamshangilia nani?
Kwani ni lazima kushangilia timu hata kama huipendi?
 
Yanga tunangalia mambo yetu tu hatuna taimu na mambo ya timu nyingine. Kazi hiyo mwulize Ahmedi Ali na Simba yake
Ukiisha penda football hata ukute watoto wanacheza lazima u support upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom