Napenda jinsi majina ya sinema za kitanzania yanavyotoa tukio zima la sinema

Napenda jinsi majina ya sinema za kitanzania yanavyotoa tukio zima la sinema

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Napenda jinsi majina ya sinema za kitanzania yanavyotoa tukio zima la sinema

Utaskia

"mwimbaji wa injili aliyepigana na simba alimuoa binamu yake baada ya kurogwa na mjomba wake PART 2"

daaah ushawahi kuona hizo titles zetu😅
 
Na kuna nyingine nmeiona,, baada ya jini kuvaa jezi kama tulivyozoea kavaa barakoa ksbisa😅😷
 
Na kiingereza kinachotumika kuandika humo kwenye muvi,ni aibu Sana. Wangekuwa hata wanauliza kabla ya kuandika
 
Back
Top Bottom