Napenda kuchukua nafasi hii v/s Napenda kutumia nafasi hii

Napenda kuchukua nafasi hii v/s Napenda kutumia nafasi hii

King Octavian

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2011
Posts
403
Reaction score
353
Wakuu na wataalam wa lugha yetu ipi ni kauli sahihi inyapaswa kutumiwa kati ya hizo mbili, mara nyingi nimewasikia viongozi akiwemo waziri wetu mkuu wakipenda sana kuitumia kauli moja kati ya hizo" waziri mkuu yeye husema NAPENDA KUCHUKUA NAFASI, Spika wa Bunge la JMT, nae pia hupenda kusema " napenda kuchukua nafasi hii" Je ipi ni sahihi? Napenda kutumia ama Napenda Luchukua?
 
Achukue nafasi anataka kuipeleka wapi huyu pinda!? Nafasi inatimiwa haichukuliwi hata siku moja...blalifuli!
 
Back
Top Bottom