ibrah20
New Member
- Oct 28, 2023
- 1
- 1
Habari zenu wapendwa katika bwana, Napenda kufahamu zaidi kuhusu TaESA
1. Baada ya registration kukamilika ni process gani zinafanyika mpaka unachaguliwa, namanisha kunakufanya interview au amna? Kwamba ukishajisajili kwenye nafsi ako then unasubria kupata bahati ya kuchaguliwa au inakuwaje?
2. Ni kwa mda gani hii TaSA unakuwa kwenye mkataba nayo?
1. Baada ya registration kukamilika ni process gani zinafanyika mpaka unachaguliwa, namanisha kunakufanya interview au amna? Kwamba ukishajisajili kwenye nafsi ako then unasubria kupata bahati ya kuchaguliwa au inakuwaje?
2. Ni kwa mda gani hii TaSA unakuwa kwenye mkataba nayo?