Napenda kufahamu ivi asili ya watanzania weupe imetokea wapi

Napenda kufahamu ivi asili ya watanzania weupe imetokea wapi

Kifaru86

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2017
Posts
1,734
Reaction score
3,822
Yaani sisi watanzania bana tumegawanyika katika makundi manne

1.kuna wale weusi tiii hawa wengi manigaaa

2.kuna wale wenye weusi wa kawaida

3.kuna wale Maji ya kunde au wenye rangi ya kahawia

4.alafu kuna wenzetu wale weupe miaka ya zamani tulizoea kuwaita cheupe dawa, wengine zungu la unga

Ivi hawa wenzetu asili yao ni wapi na wametokana na nini mbona wenzetu weupe sie wengine weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sisi watanzania bana tumegawanyika katika makundi manne

1.kuna wale weusi tiii hawa wengi manigaaa

2.kuna wale wenye weusi wa kawaida

3.kuna wale Maji ya kunde au wenye rangi ya kahawia

4.alafu kuna wenzetu wale weupe miaka ya zamani tulizoea kuwaita cheupe dawa, wengine zungu la unga

Ivi hawa wenzetu asili yao ni wapi na wametokana na nini mbona wenzetu weupe sie wengine weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao weupe wametokana na UFOs(aliens)
 
Wewe mweusi... Ukizaa na mtu mweusi... Akitoka mtoto mweupe utashangaa ametoka wapi?
Yaani sisi watanzania bana tumegawanyika katika makundi manne

1.kuna wale weusi tiii hawa wengi manigaaa

2.kuna wale wenye weusi wa kawaida

3.kuna wale Maji ya kunde au wenye rangi ya kahawia

4.alafu kuna wenzetu wale weupe miaka ya zamani tulizoea kuwaita cheupe dawa, wengine zungu la unga

Ivi hawa wenzetu asili yao ni wapi na wametokana na nini mbona wenzetu weupe sie wengine weusi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Attach na attachments (Picha) ili mada yako ieleweke kirahisi
 
Kwa kifupi watanzania walio weupe wengi wametokana na inter marriage ya waarabu na wazungu ndo wametoa kizazi hiki cha weupe .......

Ndo maana maeneo kama Kilimanjaro,arusha,tanga,tabora, singida,mtwara,kondoa hawa wengi ni weupe kutokana na asili kizazi chao kilitokana na mwingiliano wa mzungu na mwarabu intermarriage kusex hivyo ktk kuchanganya damu ndo kumesababisha had I Leo hii maeneo hayo watu weupe wanazaliwa

Ukienda bukoba,mwanza,musoma na maeneo Mengi kuna watu weusi simply damu yao haikupata mchanganyiko wa mzungu na mwarabu
Yaani sisi watanzania bana tumegawanyika katika makundi manne

1.kuna wale weusi tiii hawa wengi manigaaa

2.kuna wale wenye weusi wa kawaida

3.kuna wale Maji ya kunde au wenye rangi ya kahawia

4.alafu kuna wenzetu wale weupe miaka ya zamani tulizoea kuwaita cheupe dawa, wengine zungu la unga

Ivi hawa wenzetu asili yao ni wapi na wametokana na nini mbona wenzetu weupe sie wengine weusi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataka jibu lako nenda kariakoo maduka ya vipodozi


Note
Wanawake wanaamini kuwa uzuri unazaliwa nao ila urembo hupo dukani

Satan
 
Haya mambo yanatokana na kuchanganya damu na sasa hivi kama ni mfuatiliajiii

Wachina wengi walio bongo wanatembea sana wadada wa kitanzania hivyo baada ya miaka ijayo tutakuwa na kizazi kipya cha wachina weusiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani sisi watanzania bana tumegawanyika katika makundi manne

1.kuna wale weusi tiii hawa wengi manigaaa

2.kuna wale wenye weusi wa kawaida

3.kuna wale Maji ya kunde au wenye rangi ya kahawia

4.alafu kuna wenzetu wale weupe miaka ya zamani tulizoea kuwaita cheupe dawa, wengine zungu la unga

Ivi hawa wenzetu asili yao ni wapi na wametokana na nini mbona wenzetu weupe sie wengine weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mimi ni half baba mchaga mama mzungu na mimi ni mweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom