Napenda kufahamu jinsi ya kufuga Bata mzinga na Bata wa mayai na nyama

Napenda kufahamu jinsi ya kufuga Bata mzinga na Bata wa mayai na nyama

omarhad

Member
Joined
Dec 25, 2019
Posts
93
Reaction score
78
Nimesikia bata wanauwezo mkubwa sana kukabiliana na magonjwa na kuwafunga si kazi sana ugumu upo wanapokuwa wadogo,naomba kufahamishwa je ni aina gani za Bata ni Bora kwa mayai na kwa nyama? Na je Bata mzinga nao wanachangamoto gani,maana pia napenda jinsi walivyo.. Je Kuna soko la kuaminika juu ya bidhaa hii? Ahsanteni sana,naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1,Bata mzinga niwazuri sana kuwafuga ila chanagamoto kubwa wakiwa vifaranga wanahitaji sana uangalifu maana nirahisi sana kupatwa na magonjwa, Bata hawa wakawaida hawana shida sana juu ya magonjwa, Bata bukuni wao hawana shida sana ya magonjwa ila uzalianaji wao ni mdogo sana kwahiyo kuongezeka kwa haraka huwa ni shida kidogo, kama upo Dar nitakupatia number za wafugaji wakubwa wa bata uwatembelee kwanza ndipo ujue unaweza fuga bata yupi kwa manufaa utakoyo ona yana kufaa ktk ufugaji.
 
Ahsante sana kwa maelezo yako,sipo dar kwa sasa,ila nikifikia hatuaya kuanza itanibidi nije kupata maelekezo kwa kina
1,Bata mzinga niwazuri sana kuwafuga ila chanagamoto kubwa wakiwa vifaranga wanahitaji sana uangalifu maana nirahisi sana kupatwa na magonjwa, Bata hawa wakawaida hawana shida sana juu ya magonjwa, Bata bukuni wao hawana shida sana ya magonjwa ila uzalianaji wao ni mdogo sana kwahiyo kuongezeka kwa haraka huwa ni shida kidogo, kama upo Dar nitakupatia number za wafugaji wakubwa wa bata uwatembelee kwanza ndipo ujue unaweza fuga bata yupi kwa manufaa utakoyo ona yana kufaa ktk ufugaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom