shahid365 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 518 Reaction score 420 Feb 28, 2019 #1 Habari za mida hii waungwana wa humu waungwana nilikuwa naomba kujua kula bamia mbichi kuna madhara?au kuna faida maana siku hizi nimejikuta napenda kutafuna bamia mbichi.Ahsanteni
Habari za mida hii waungwana wa humu waungwana nilikuwa naomba kujua kula bamia mbichi kuna madhara?au kuna faida maana siku hizi nimejikuta napenda kutafuna bamia mbichi.Ahsanteni