Napenda kujua

micky mouse

Senior Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
158
Reaction score
53
JF dk habari za majukumu ,swali langu dk leo ningependa kujua hawa ndugu zetu kina mama wanapo jifungua wanakaa muda gani(miezi mingapi ndipo awe tayari kwa kufanya mpenz)na mwenzie, hilo tu.
 
Inategemea na njia aliyojifungua na kama kuna complications zozote. Kwa ajili ya mahusiano mazuri ingekuwa faida sana kwako kama ungekuwa unampeleka mwenzio hospital na kuonana na daktari.

Mara nyingi kama hakuna complications zozote, siku 40 zinatosha. Zingatia uzazi wa mpango manake haikawii kukatikia.
 
Kuna thread ipo humu imewekwa juzi hebu tafuta ina mengi mazuri lakini pia mdau hapo juu kajibu vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…