Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana yaani unajua kupika halafu hauna demu!
Nalog off
Kama wewe mwanaume jina tamuuuuu halikufaiNimekuwa na hulka ya kupenda kumpikia mpenzi/girlfriend. Japo kwa sasa sina ila nikiwa naye huwa namwacha akae halafu mimi napika yeye ale tu.
Yaani Mi mwenyewe nimeshangaa! Kitongozeo anacho lkn anabaki mpweke😂😂😂Hahahahahaha hiyo ni sifa pendwa kwa wale Warembo wavivu na wasiojua kupika.
Yaani Mi mwenyewe nimeshangaa! Kitongozeo anacho lkn anabaki mpweke😂😂😂
Nalog off
Wasisubiri mpaka wapelekewe PGO na wakili ndio waisome 😂😂😂wanatakiwa waisome sasaKitongezeo 😂😂😂😂😂😂 huu ni msamiati mpya someni PGO zenu kwa umakini mkubwa ili mjue kitongezeo ni nini na namna ya kukitumia ili msiwe wapweke.
Best unajua kupika?[emoji849]Hahahahahaha hiyo ni sifa pendwa kwa wale Warembo wavivu na wasiojua kupika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh hii ID kumbe ni yakiume? 😳Nimekuwa na hulka ya kupenda kumpikia mpenzi/girlfriend. Japo kwa sasa sina ila nikiwa naye huwa namwacha akae halafu mimi napika yeye ale tu.