Pole sana yaani unajua kupika halafu hauna demu!
Nalog off
Kama wewe mwanaume jina tamuuuuu halikufaiNimekuwa na hulka ya kupenda kumpikia mpenzi/girlfriend. Japo kwa sasa sina ila nikiwa naye huwa namwacha akae halafu mimi napika yeye ale tu.
Yaani Mi mwenyewe nimeshangaa! Kitongozeo anacho lkn anabaki mpwekeπππHahahahahaha hiyo ni sifa pendwa kwa wale Warembo wavivu na wasiojua kupika.
Yaani Mi mwenyewe nimeshangaa! Kitongozeo anacho lkn anabaki mpwekeπππ
Nalog off
Wasisubiri mpaka wapelekewe PGO na wakili ndio waisome πππwanatakiwa waisome sasaKitongezeo ππππππ huu ni msamiati mpya someni PGO zenu kwa umakini mkubwa ili mjue kitongezeo ni nini na namna ya kukitumia ili msiwe wapweke.
Best unajua kupika?[emoji849]Hahahahahaha hiyo ni sifa pendwa kwa wale Warembo wavivu na wasiojua kupika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh hii ID kumbe ni yakiume? π³Nimekuwa na hulka ya kupenda kumpikia mpenzi/girlfriend. Japo kwa sasa sina ila nikiwa naye huwa namwacha akae halafu mimi napika yeye ale tu.