Napenda kuuliza , endapo Muungano ukavunjika je mikataba nayo itavunjika ??

Napenda kuuliza , endapo Muungano ukavunjika je mikataba nayo itavunjika ??

Gan star

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
379
Reaction score
982
Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ???

Wenye uelewa naomba wanijuze
 
Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ???

Wenye uelewa naomba wanijuze
Muungano hauwezi kuvunjika labda CCM ndo ivujike kwanza, hapo ni ndoto za mchana.
 
Back
Top Bottom