Gan star JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 379 Reaction score 982 Jun 19, 2023 #1 Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ??? Wenye uelewa naomba wanijuze
Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ??? Wenye uelewa naomba wanijuze
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 10,198 Reaction score 35,323 Jun 19, 2023 #2 Gan star said: Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ??? Wenye uelewa naomba wanijuze Click to expand... Muungano hauwezi kuvunjika labda CCM ndo ivujike kwanza, hapo ni ndoto za mchana.
Gan star said: Wakuu napenda kuuliza , hv Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika , je mikataba ambayo ilisainiwa Kwa idhini ya Tanzania nayo itavunjika ??? Wenye uelewa naomba wanijuze Click to expand... Muungano hauwezi kuvunjika labda CCM ndo ivujike kwanza, hapo ni ndoto za mchana.
Gan star JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 379 Reaction score 982 Jun 19, 2023 Thread starter #3 Covax said: Muungano hauwezi kuvunjika labda CCM ndo ivujike kwanza, hapo ni ndoto za mchana. Click to expand... Mi nimeuliza swali
Covax said: Muungano hauwezi kuvunjika labda CCM ndo ivujike kwanza, hapo ni ndoto za mchana. Click to expand... Mi nimeuliza swali