Napenda kuwa blogger (Mubwa zaidi)

Napenda kuwa blogger (Mubwa zaidi)

bunduki TV

Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
7
Reaction score
5
blog yangu ni hii

sayyidbunduki.blogspot.com

USHAURI UNAHITAJIKA TAFADHALI
 
Kwanza Blog yako inahusika na taarifa za aina gani?

Pili, uendeshaji wa blog unahitaji kujitoa kweli kweli na siyo lelemama, maana unahitaji rasilimali kadhaa kama muda, watu, pesa, vifaa, nk.

Tatu, Baada ya kuwa na hivyo vitu fanya usajili, hii ni kulingana na aina ya content unayoitumia kuepusha kesi na serikali yako.

Nne, Baada ya kufanya hivyo anza andika barua kuielezea blog yako kwenda kwa makampuni unayopenda kuwatangazia matangazo, lakini usiache kuwatumia wafanyabiashara wadogo wa mtaani wanaweza kukupa starter payment ili kukuboost nauli ya kuzunguka kutafuta habari na matangazo.

Mwisho tafuta mtaalam akuingize kwenye Adsense advertisiment, hii inaweza kukupa pesa pia.


Mafanikio mema.
 
Back
Top Bottom