Geofrey_GAMS
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 496
- 229
loh! Inakera kusoma,
YOUR WELCOME @ Ze BlessedGreat minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people.
do u hav a mental problem? kwan ni lazma kucomment kama hujickii c unaacha
kwan jamii forum ya baba ako, peleka lugha yako nzur kwenu
Hapa sio FB wewe..peleka huko huko hizo lugha zako.
Lugha yako haina adabu.
usicho kielewe nn hapo?kielezi xana au?
huyu dogo ndio wale wanaoingi internet hawana la kufanya. Anaingia anapost mada za kifacebook ili mradi tu aonekane ameanzisha mada. Na yeye
huyu dogo ndio wale wanaoingi internet hawana la kufanya. Anaingia anapost mada za kifacebook ili mradi tu aonekane ameanzisha mada. Na yeye
YOUR WELCOME @ Ze Blessed
Ze Blessed et al, karibuni tena na tena kwa ushauri. Sijasoma UDSM, lakini basically politics za chuo zimefanana almost kote duniani.
Ushauri wa bure, epuka kuwa distracted kwa mambo ambayo hayatakusaidia kamwe. Mfano mzuri, mmetumia muda wa kutosha kujibishana kuhusu lugha yako. Soma, potezea. Chuo utawakuta wa hivi wengi tu, tena jitu linakuambia course unayosoma haitakusaidia lolote, haina future blah blah! Usiwasikilize, piga msuli faulu uje na gamba kitaa.
Kila la kheri. Msivae tu mlegezo, mtaniudhi kidogo.
haya kaka op una A ya kiswahl bt naamin ujumbe umekufkia pia.
Nashukuru xana kwa wale wote amba wame2tangulia kieliemu na wenye xperience na maisha ya chuo. Binafsi nimejifunza mengi xana kupitia hao watu kutokana na ushauri mzuri kupitia ushuhuda wao walipokuwa au wawapo chuoni, nashukuru kwa ww ulye2pa nasaha kuhusu yule jamaa wa mahafali, nakushukuru ww ulie2ambia kuwa ktambulisho chako ndo kila k2 kukujulsha uwanachuo baada ya kukutana na meng, nakushukuru ww pia ambae ume2weka waz kuhusu bumu na mpk sasa unalichukia. Natumai maushauri mazuri yalkua meng bt am a new member, bg up xana kwa hawa watu
Hata kichaa anaweza kufikisha ujumbe,jaribu kujitofautisha...hivi kuandika 'hope' inakuchukulia dakika ngapi?Uko bize sana?
kaka kila baada ya neno kwenye huwa tunaacha nafasi, kiswahili cha wapi hicho kaka unaona ulivyo...., nini maana ya kujishaua na wakati hata wewe kiswahili hujui? Kuwa makini ndugu. Lako hilo.
Ungejaribu kuonesha nilipokosea labda ningekuelewa...Ushauri wa bure,jaribu kuanza sentensi zako kwa herufi kubwa,hata mwanafunzi wa darasa la nne analijua hili...Huwa tunaweka three dots,ndio kanuni.