Napenda kuwashukuru wote mlionisaidia kwenye changamoto yangu niliopitia

Napenda kuwashukuru wote mlionisaidia kwenye changamoto yangu niliopitia

Natamani nisingezaliwa

Senior Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
112
Reaction score
265
Napenda kuwashukuru wote mlionisaidia kwenye changamoto yangu niliopitia nilienda hospitali nikapata tiba nilisafishwa uchafu wote na sasa naendelea vizuri haswa mazoezi nafanya vizuriii humu kuna watu wema sana nashindwa kuwalipa kwa mtu yeyote alietoa msaada wake kunisaidia ila naamin mungu atawabariki. Kwa sasa hivi nipo vizurii changamoto ni vile mashine haisimami vizurii kwa hiyo kama kuna mtu ana dawa yake anisaidie.
 
Back
Top Bottom