Napenda Mke Wangu Atoke Zanzibar

Hakikisha ni mlengo wa CUF maana hawa ndio wastarabu zaidi.
 
uwe unazungumza Kiswahili vizuri na una misamiati ya kutosha
 
Muda mwingine cjui ni mawazo au ni nini # eti najibu kama mimi ndo..

>. Simba Mweupe.

Dah sorry wana JF
Tushajua una id mbili, usihofu we jimwage tu kotekote, hata bro munene huwaga anajisahau kama hivi alafu tunampotezea tu.
 
Tushajua una id mbili, usihofu we jimwage tu kotekote, hata bro munene huwaga anajisahau kama hivi alafu tunampotezea tu.
Utawezaje ku comment kwa mtu bila ku log out na ku saign in...

N" 2 iD.....4 what purpse..!!?

Nshasema nime wrong overrr

Think.. my besT...
 
SIFA ZA MKE MTARAJIWA NINAYEMUHITAJI...[emoji171][emoji171][emoji171][emoji171][emoji171][emoji171][emoji171]

1. Awe na hofu na MUNGU.

2. Awe na UPENDO[emoji176] wa kweli bila kujali hali ya mtu.

3. Awe na MOYO[emoji176] wa huruma na KUSAMEHE kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika.

4. Awe na MAWAZO ya KIMAENDELEO na si mawazo Hasi.

5. Awe mwenyeji wa ZANZIBAR (Znzbar au Pemba).

6. Awe MUISLAMU thabiti.


SIFA ZA KIUMBO/KIMUONEKANO.

1. Awe na MIAKA 20-23.

2. Awe MWEUPE.

3. Awe MREFU.

4. Awe MODO (Si Mnene wala si Mwembamba...yani Saizi ya Kati).

5. Awe anapenda KUJISTIRI na Mavazi ya Heshima.

6. Awe na FIGURE[emoji177] (Hips Kidgo.. Mashaallah)

7. Awe hajawahi kuingia LEBA.

8. Chuchu saa6.[emoji177][emoji177]

[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177]


INSHAALLAH...Kwa Uwezo Wake Ntampata MKE MWEMA na Tunayeendana...%%

Amin.[emoji177][emoji527][emoji524][emoji287][emoji561]


Mwambie na Mwenzio...kama uko tayari ni P.M. asante
 
Itabidi uchonge wako mwenyewe au agizia kutoka china. Ugunja kuna sehemu inaitwa mombasa jioni pamechangamka naona wadada wanapita pita tu,tega maeneo hayo utaibuka na chombo cha ukweli. Ila jiandae kua na chekechea.
 
Itabidi uchonge wako mwenyewe au agizia kutoka china. Ugunja kuna sehemu inaitwa mombasa jioni pamechangamka naona wadada wanapita pita tu,tega maeneo hayo utaibuka na chombo cha ukweli. Ila jiandae kua na chekechea.
Chekechea nd nin.?
 
1. Uwe muislam
2. Ukoo wako uwe unajulikana
3. Mahari wengi wao saivi wanataka thamani mfano kitanda, kabati nk kuliko cash
4. Makazi uwe nayo ya uhakika kwani hawapendi kuhama hama.
5. Ujue kudekeza maana kwa apo wapo vizuri.
6. Hawawezi kazi ngumu sana mfano kulima, au mihangaiko mikubwa wengi wao wamelelewa kuwa wake.
7. Uwe na uwezo wa kumuhudumia haswa kwa mavazi maana mara nyingi hutaka sare kwa ajili ya chai au uradi nk.
Natumai nimekusaidia kiasi
 
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…