Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
Wee lazma uondoke na ngoma!
Usipo shtuka! Utaondoka na kilo mbili!
Na jeneza lako mfuko wa rambo unatosha!
Unaishi wapi?
Ngoja nikupe kanuni na future otenativu wei za kiteni"kwanza mpe mwanafunzi mimba then wakikutia rumande kule hakuna mademu basi utakaa muda mrefu bila ngono ila utapiga sana nyeto ukitoka rafiki yako atakua nyeto na sio ngono by prison soba house
Habari za Jioni,mimi ni kijana wa Kitanzania ambaye nimeanza mapenz nikiwa darasa la sita,nimeishi na maisha ya kupenda Ngono kwani nimekuwa na wanawake tofauti tofauti,sasa hivi nina miaka 26,na nimeshatembea na zaidi ya wanawake 100+,kwa hii hidadi najiona kama uzinzi wangu umezidi,bado na hata leo tu nimeshazini na mwanamke mwingine tofauti na yule wa Jumapili,Hii hali siipendi na inaniumiza sanaa akili,nimejaribu hata kumwomba mungu kupitia malaika zake waniongoze kwa hili coz muda mwingine nikiwa kanisani nasahau kufwata Ibada na kuwaza ngono tu.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu.
Habari za Jioni,mimi ni kijana wa Kitanzania ambaye nimeanza mapenz nikiwa darasa la sita,nimeishi na maisha ya kupenda Ngono kwani nimekuwa na wanawake tofauti tofauti,sasa hivi nina miaka 26,na nimeshatembea na zaidi ya wanawake 100+,kwa hii hidadi najiona kama uzinzi wangu umezidi,bado na hata leo tu nimeshazini na mwanamke mwingine tofauti na yule wa Jumapili,Hii hali siipendi na inaniumiza sanaa akili,nimejaribu hata kumwomba mungu kupitia malaika zake waniongoze kwa hili coz muda mwingine nikiwa kanisani nasahau kufwata Ibada na kuwaza ngono tu.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu.Nashukuruni sanaa kwa Ushauri wenu mzuri,ila kiukweli silipendi hili Tatizo na kwa wanaonishauri kupiga punyeto,Punyeto nayo napiga almost nikijiskia hamu,but sioni kama inanisaidia kabisa
Habari za Jioni,mimi ni kijana wa Kitanzania ambaye nimeanza mapenz nikiwa darasa la sita,nimeishi na maisha ya kupenda Ngono kwani nimekuwa na wanawake tofauti tofauti,sasa hivi nina miaka 26,na nimeshatembea na zaidi ya wanawake 100+,kwa hii hidadi najiona kama uzinzi wangu umezidi,bado na hata leo tu nimeshazini na mwanamke mwingine tofauti na yule wa Jumapili,Hii hali siipendi na inaniumiza sanaa akili,nimejaribu hata kumwomba mungu kupitia malaika zake waniongoze kwa hili coz muda mwingine nikiwa kanisani nasahau kufwata Ibada na kuwaza ngono tu.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu.