Napenda sana kula chakula hiki kila siku asubuhi. Je, kuna madhara yoyote kwa afya yangu?

Wonderful

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
7,347
Reaction score
5,986
Ni ugali dona na samaki wa kukaanga kwa mafuta ya alizeti.Ni dozi ya kila siku asubuhi saa1.Binafsi situmii chai maana sijawahi kuipenda chai.Msaada tafadhali jee kuna madhala yoyote ntayapata kiafya?

Mimi ni mwanaume mrefu ft5.11,uzito wangu ni kilo92-94 na asili yangu ni mkoa wa Mara.Mazoezi nafanya ya wastani ikiwa ni pamoja na kukimbia mwendo wa 3kms every day na some times natembea kwa miguu kutoka job katikati ya jiji la Dar mpaka.home mitaa ya Gomz!
 

Attachments

  • IMG_20150822_091758.jpg
    205.3 KB · Views: 650
  • IMG_20150822_091720.jpg
    198.1 KB · Views: 552
mkuu..urefu wako hauendani na kilo ulizonazo..we utakuwa na obesity
 
Hii inaitwa Marketing mix ili wadada wa humu wajigonge kwako.
 
utumbo utakakamaa,kama wala vitu vikavuvikavu,maana sioni hata mchuzi hapo
 
nashauri utengeneze sosi badala ya samaki mkavu i mean samaki wa mchozi rojo, then asbh kabla ya kupiga hiyo menu uanze na maji ya uvuguvugu angalau glass mbili nusu saa kabla ili kutayarisha tumbo kupokea msosi. Kila la heri me naona uko poa tu.
 
nashauri utengeneze sosi badala ya samaki mkavu i mean samaki wa mchozi rojo, then asbh kabla ya kupiga hiyo menu uanze na maji ya uvuguvugu angalau glass mbili nusu saa kabla ili kutayarisha tumbo kupokea msosi. Kila la heri me naona uko poa tu.

Thankx!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…