napenda sana miba na mifupa

napenda sana miba na mifupa

g4cool

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
429
Reaction score
206
Bandugu zangu, yaani nikila samaki sibakishi kitu, hata iwe mifupa kiasi gani, kuanzia mikia ule mwiba mpaka kichww, na nikila nyama, mfano ya kuku wa kienyeji yani, ukinikuta utashangaa, nafunja tu mifupa yote, je hilo ni tatizo?? na je haliwezi kuleta madhara kwenye kidole tumbo?? msaada please
 
Bandugu zangu, yaani nikila samaki sibakishi kitu, hata iwe mifupa kiasi gani, kuanzia mikia ule mwiba mpaka kichww, na nikila nyama, mfano ya kuku wa kienyeji yani, ukinikuta utashangaa, nafunja tu mifupa yote, je hilo ni tatizo?? na je haliwezi kuleta madhara kwenye kidole tumbo?? msaada please
una mapepo na ndiyo maana yanakupa vitu vya hovyo hovyo , mfano kuna wengine wanakula mkaa, michanga, vichungi vya sigara , wewe mifupa, n.k inawezekana kitaalamu wakakupa jibu lakini mara nyingi halijitoshelezi , nenda kanisani kaombewe au kwa sheikh akupe hayo madua ,kombe n.k
 
May be una upungufu wa madini ya Calcium ndio maana unapenda sana mifupa??

Jaribu kutumia mti wa mlonge longe kwa wiki kama mbili kama majani ya chai uone kama hali itapotea
 
una mapepo na ndiyo maana yanakupa vitu vya hovyo hovyo , mfano kuna wengine wanakula mkaa, michanga, vichungi vya sigara , wewe mifupa, n.k inawezekana kitaalamu wakakupa jibu lakini mara nyingi halijitoshelezi , nenda kanisani kaombewe au kwa sheikh akupe hayo madua ,kombe n.k

si kwamba nina mapepo, mi nimeokoka, na si kwamba nikikosa hivyo vitu napagawa hapana, yani ninapokula samaki au nyama, napenda kutafuna mpaka miba au mifupa
 
Huna pesa ya kula nyama wewe; nunua samaki wengi si kukumbatia kadagaa kadogo fanya hima
 
si kwamba nina mapepo, mi nimeokoka, na si kwamba nikikosa hivyo vitu napagawa hapana, yani ninapokula samaki au nyama, napenda kutafuna mpaka miba au mifupa
ok nimekupata mazoea ya kawaida yaani kama mimi nikiona mechi za uefa na usingizi unaruka na kesho yake siendi kazini kwa uchovu binafsi wa kujitakia
 
Madhali unaitafuna inasagika haiwezi kuleta madhara kwenye kidole tumbo...kwasababu chakula chochote kinakuwa digested tumboni na gastric acid(HCL) na kinakuwa msawajiko unaoitwa CHYME.Ninalohofia ni kwamba hio mifupa inaweza ikwame kooni au kwenye oesophughus kama huitafuni vizuri au umeze kwa bahati mbaya!!!
 
Inawezekana kweli, lakini jamani mifupa mitamu.

Samaki wa kukaanga, kuku wa kukaanga, unaweza kula hadi manyoa

Afu kama ni ng'ombe au mbuzi raha ule 'mbuguswa' au bone marrow
Huna pesa ya kula nyama wewe; nunua samaki wengi si kukumbatia kadagaa kadogo fanya hima
 
Inawezekana kweli, lakini jamani mifupa mitamu.

Samaki wa kukaanga, kuku wa kukaanga, unaweza kula hadi manyoa

Afu kama ni ng'ombe au mbuzi raha ule 'mbuguswa' au bone marrow

Bone marrow kwa kiswahili ni ubohoo.
 
Inawezekana kweli, lakini jamani mifupa mitamu.

Samaki wa kukaanga, kuku wa kukaanga, unaweza kula hadi manyoa

Afu kama ni ng'ombe au mbuzi raha ule 'mbuguswa' au bone marrow

yaani we acha tu, nikila samaki nikibakisha kichwa naona kama bado cjakula, yaani navunja tu mpaka macho
 
Back
Top Bottom