Napenda sana Paka ila kwa uliaji wa Paka wa Mtaani hasa Usiku nahisi ni Binadamu Wenzangu na wapo Kazini sasa

Napenda sana Paka ila kwa uliaji wa Paka wa Mtaani hasa Usiku nahisi ni Binadamu Wenzangu na wapo Kazini sasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Watu wa Mtaani walikubaliana Kuwauwa Wote kutokana na Kero zao za Kulia kama Binadamu na hasa nyakati za Usiku na nikawa Mtetezi wao.

Ila kwa jinsi wanavyolia sasa huku wakisogea mkabala ( jirani ) na Dirisha langu ni dhahiri shahiri kuwa hawa siyo Paka kama Paka bali ni Wanadamu Wenzangu hivyo Kesho naenda Kununua Sumu Moja Takatifu ili niwawekee na Wakafie mbali kabisa.

Tangia lini Paka akalia kama Mwanadamu, anakohoa na huku Mwenzake akicheka na kusema kama Binadamu kuwa bado hajalala?

Na hapa waninilenga Mimi niliye Macho muda huu ili nilale tu na Wanibebe wakanilimishe Viazi Vitamu Usiku Kucha huu Mashambani sehemu mbalimbali za Mkoa huu wa Dar es Salaam..
 
Wewe jitahidi tu Kuwatetea Mkuu ila kwa Kero wanazonifanyia muda huu Kesho nawamaliza ( nawadedisha ) Wote.
Ua tu japo wana roho ngumu sana, niliwahi sikia kuwa paka anazo roho saba sijui hili lina ukweli?
 
Wanyumbani, mbona unamaindi hadi starehe za mifugo....🤔
Huyo anaelia sana atakua ni wakike (sasa kwa usiku huu itakua kuna kitu) analilia kwa furaha...🤣
 
Lzm Kuna kitu kitakutokeaa siku mbili hz zijazo ikiwa tu paka watalia karibu na dirishani kwako Kama watoto

Ishara hyo ni kwamba utampoteza rfk ,ndugu wako wa karibu sna kwa kufariki au kutokuwepo na msiba jjirani kwako au mtu unaye mfahamu

Hilo mm nililiona nikiwa naishi keko nhc pale walikuja kuliaa usku nikaamka kuwatimua wakatudi Tena Kisha asbbh napata taarifa mbaya sna ya msiba was mkuu wa idara wa Helios tower
 
Cat mating mkuu usiogope. Ni sawa na mwanamke anavolia mkuyenge ukimzidia na mgugumio wa besi wanaoutoa baadhi ya wanaume wakiwa wanamwaga bao
 
Lzm Kuna kitu kitakutokeaa siku mbili hz zijazo ikiwa tu paka watalia karibu na dirishani kwako Kama watoto

Ishara hyo ni kwamba utampoteza rfk ,ndugu wako wa karibu sna kwa kufariki au kutokuwepo na msiba jjirani kwako au mtu unaye mfahamu

Hilo mm nililiona nikiwa naishi keko nhc pale walikuja kuliaa usku nikaamka kuwatimua wakatudi Tena Kisha asbbh napata taarifa mbaya sna ya msiba was mkuu wa idara wa Helios tower
Mpaka leo na Asubuhi hii sijafiwa na Mtu yoyote, Mtaani kuko shwari na Maisha yanaendelea.

Na kama hawa Paka wametumwa Kuondoa Uhai wa Mtu GENTAMYCINE natamka hafi Mtu na Damu ya Yesu Kristo itatulinda na kutokoa na kama Kufa watakufa Wao ( Paka ) na wale Wapuuzi wanaoamini Imani za Kipuuzi kuwa Paka akilia dirishani Kwako ni Uchuro wa Kifo / Msiba.

Imeisha hiyo....!!
 
Back
Top Bottom