MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Mtu anayeweza kuishi na taahira lolote la ccm inatakiwa apimwe akiliKaribu sana ni mrefu mweupe utakubari kuja kuishi simiyu?
Halafu ukishamjutisha mtu wewe unafaidika na nini...?jamaniiiiiii ikawaje mimi uzuri uicheza na hisia zangu nakufanya ujuteee usinisahau maishani
Umenena,cjui wapoje hawa watu,ningekuwa witch ningezihamisha hizojamaniiiiiii ikawaje mimi uzuri uicheza na hisia zangu nakufanya ujuteee usinisahau maishani
Sio kwamba napenda mwanaume mbaya asa mwanaume unaanzaje kujisifia uzuri jaman,kwa sisi wanawake kujisifia ni kawaida but kwa men sio ishuuu ati mwanaume jisifie kua na pesa na utafutaji wa pesa sio ishu kwa man kujisifia uzuriMmh, we unapenda mwanaume mbaya?!...mtu kujijua ni mzuri ni kosa?...mbona na nyie mnajisifia ni wazuri...
Ndo hivo afu mwenzio napenda man chocolate colour na maji ya kunde height ya wastani but natongozwa sana na hao tall weupee peee dah hata cjui nfanyeje yanhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji121]Najikuta nachanganyiiwa nikikutana na wanaume weupe warefu
kwa baati mbaya sijawai tongozwa na wanaume hao
natongozwa na .......................... harafu sio ............................
π³π³π³π³kulia tuuuuuuuπ³π³π³π³
mpo weupe humu kweli
wenye umbo kama hili,
washakujua kama we nuksi wa fisiem,bara nako kama pemba tu ukijulikana mwanakijani ni full ubaguzi mpaka kwenye mapenziKaribu sana ni mrefu mweupe utakubari kuja kuishi simiyu?