Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Mmmhh menapenda mwanamke mweupe aisee japo me Black modo
ahaaaaaa nimekusomaaahv mtukufu ni mfupi halafu mweusi unaonekana unapishana na hela wewe
umeniwahi hii Lumumba fc ni nuksiNani anataka nuksi ya MaCCM?
[emoji23][emoji23]
Najikuta nachanganyiiwa nikikutana na wanaume weupe warefu
kwa baati mbaya sijawai tongozwa na wanaume hao
natongozwa na .......................... harafu sio ............................
π³π³π³π³kulia tuuuuuuuπ³π³π³π³
mpo weupe humu kweli
wenye umbo kama hili,
Sifs hizo azitoe wapi, kama angekuwa nazo hili bandiko usingeliona.hapo utakuta ana meno yamepandiana kaa naniiii..........We nyewewe mrefu&mweupe?... Sijaajabu ata sie wafupi hatukutakii..!
Nipo mchumba semaNajikuta nachanganyiiwa nikikutana na wanaume weupe warefu
kwa baati mbaya sijawai tongozwa na wanaume hao
natongozwa na .......................... harafu sio ............................
π³π³π³π³kulia tuuuuuuuπ³π³π³π³
mpo weupe humu kweli
wenye umbo kama hili,
Aje simiyu kufanya nini wakati "sirikali" inahamia Dodoma?!Karibu sana ni mrefu mweupe utakubari kuja kuishi simiyu?
Kwenye sayari ya nibilu[emoji85]ndo wapi huko
Asikudanganye mtu! Size na urefu wa mtu haudetermine kibamia! Niliwai kukutana na mkaka mmoja mbona nilikimbia mwenyewe!Maongezi yako yaonekana wewe ni mfupi mnene na ukijua kuwa watu wa hivyo huwa na kibamia na ni wachafu.
Swissme
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilimpendaga mwanaume wa dizaini hii aiseee hapana sitaki tena
Hongera, bahati mbaya nina mke, na nimeahidi kuwa mwaminifu...ningekusarandia[emoji12][emoji12][emoji12]
Mtu asije kukudanganya ujichubue utakosa mengi
Najikuta nachanganyiiwa nikikutana na wanaume weupe warefu
kwa baati mbaya sijawai tongozwa na wanaume hao
natongozwa na .......................... harafu sio ............................
π³π³π³π³kulia tuuuuuuuπ³π³π³π³
mpo weupe humu kweli
wenye umbo kama hili,
Simiyundo wapi huko
Najikuta nachanganyiiwa nikikutana na wanaume weupe warefu
kwa baati mbaya sijawai tongozwa na wanaume hao
natongozwa na .......................... harafu sio ............................
π³π³π³π³kulia tuuuuuuuπ³π³π³π³
mpo weupe humu kweli
wenye umbo kama hili,
Kwanini?Nilimpendaga mwanaume wa dizaini hii aiseee hapana sitaki tena