Napenda sana wanaume warefu weupe

We mwenyewe mrefu&mweupe?... Siajabu ata sie wafupi hatukutakii..!
 

Pole sn,,,izo ni dalili za kuwa una nguvu za Giza ndani yako, na iyo ni Tania za maroho ya kuzimu.
CHUKUA HATUA YA KUMRUDIA MUUMBA WAKO MAANA UNAKOELEKEA SIO KUZURI.

Nina kuombea sasa iyo ngv za Giza zilizokamata mwili wako """"Zikuachie sasa HV kwa damu ya Yesu Kristo. Kwa msaada zaidi fika knsn kwetu Hapa Tegeta kibo utaona "" HUDUMA YA MLIMA WA NEEMA"""" AU PGA simu : 0756400749
 
Nipo mchumba sema
Nina 6pack na noti za kufa mtu.
Vipi wewe unatupogo?
 
Maongezi yako yaonekana wewe ni mfupi mnene na ukijua kuwa watu wa hivyo huwa na kibamia na ni wachafu.


Swissme
Asikudanganye mtu! Size na urefu wa mtu haudetermine kibamia! Niliwai kukutana na mkaka mmoja mbona nilikimbia mwenyewe!
 
πŸ™„πŸ™„ Awe Mrefu halafu mweupe basii hapo wewe HOI! je kama hivyo vipo lakini pesa hana inakuwaje?
 



Unapenda kulambwa midomo wewe inaonesha unapenda sana mikasi thread zako ni mapenz tu
 

Hamia Arusha... Wamejaa kibao huko... Sasa wewe unakaa Kigoma asilimia tisini ya wanaume ni weusii tii na vishort dizaini ya Kafulila unategemea muujiza gani?
 
Ukifikisha miaka 28 bado upo single hio chagua chagua itakwisha.hapo utakapoanza kua bibi utajitongozesha hataa kwa mbilikimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…