Napenda umaarufu

Kama unataka umaarf kwa mda mfupi bla mafanikio n simpo, fanya hv, angalia watu wako attentive Na ktu gan kwa sasa then hapohapo Na ww unaibuka Na hoja zako. Mfano ita vyombo vya habar uanze kudis movnt ya UKUTA kwa ktumia hoja zako binafsi bla kumhusisha mtu yeyote, wana kuegemea upande wowote sambaza video mbalimbali khs hzo fikra zako.. Nnaamin haito fkisha masaa 72 Tanzania itakujadili tyu...!!! Tena itakfngulia milango maana nimeona umelipenda wazo la kuanzsha chama cha siasa..
 
Una vision aseee
 
Aaaha Mtumishi njoo uwe secretary wangu binafsi!!
 
Ukipenda umaarufu uzipende Na mbwembwe zake
 
yaani hapa pa UKUTA ndo pake pakupatia umaarufu atii
 


!
!
Mtukane Magufuli fasta tu au andika kwenye mitandao kuonesha furaha yako baada ya polisi kuuwawa. Njia nyingine andika bango la dikteta uchwara tembea nalo barabarani.
 
Mweeh umaarufu changamoto. Mi hata siutaki hata
 
Nenda hapo getini, Magogoni vua nguo then maliza haja kubwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…