Napenda wa hivi

wengine hawanywi lakini ni machakaramu katika majamboz zaidi ya hao wanywaji
 
Alcohol has a "disinhibiting" effect, which can make people "loosen up" and feel more comfortable initiating or engaging in sex.
Alcohol may make you feel more socially confident, and in small quantities may facilitate more socializing and sexual communication. Alcohol has been reported to have a positive impact on sexual desire and arousal.
 

Alcohol enables ugly people to have sex
 
hehehehe mzee wa majournal unatokea Guest gani baada ya kupata kilaji? hebu kamata hii hapa chini kwa afya yako
The Following User Says Thank You to Julz For This Useful Post:

Kimey (Today
 
unamkopa kila siku
Mademu wa kukopa nawaogopa sana maana cku ya kulipa utatafuta shimo ujichimbie. Utasikia unajua honey mama kule kigoma alikuwa mgonjwa sana sasa natakiwa nikamchukue nimpeleke KCMC na si unajua usafiri wa kule ni ndege! Nimeenda pale precision wamenambia kuna ndege keshokutwa tu na mimi hapa nina kitu ka laki mbili tu unanisaidiaje mpenzi wangu?
 

Mara nimepata mzigo wa kuchukua na nina nusu ya pesa "laki nne na nusu" naomba zilizo baki nisaidie
Akiondoka hapo humuoni tena
 
Wengi wanakuwa machakaramu baada ya kupata kilevi, wataonyesha utundu wao wote!
kwa iyo mnamaanisha kuwa mtu akinywa pombe basi inahamia BONDEN?
km ambavyo mtu akila chakula kinaenda TUMBON SO UKINYWA POMBE BAS INAENDA KUJIRUNDIKA pale kati?
mwee aya hongeren wanywaji..mnafaidi ennh??
ivi hakunaga bia ambayo unaweza kujidunga kwa sindano?au lazima ipite mdomon?
 

Heeeee umefika huko tena
 
nauliza tu jamana...mi thijui jaman....nsaidien kwa kunielewesha km pombe mkinywa znahamia bonden?
unaweza kuiweka kwenye sindano ukajidunga?

Aaaah si unawasikiaga wajamaa wanasema ngoja nikajidunge li safari moja la baridi
Zipo njoo ujidunge
 
nauliza tu jamana...mi thijui jaman....nsaidien kwa kunielewesha km pombe mkinywa znahamia bonden?
unaweza kuiweka kwenye sindano ukajidunga?

Thanks: 1
Thanked 275 Times in 184 Post
Rep Power
22
Napenda kujua hiyo thanks moja ulimtwangia nani? :tape:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…