sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Niendelee kung'ang'ania ubara kwanini wakati uraia wa Zanzibar unarahisisha maisha?
Wazanzibar wamebahatika zaidi kupata uwanja mpana tena wa kipendeleo kabisa katika nafasi za uongozi, ajira, vyeo, teuzi, n.k.
JKT wengi kama sio wote huwa wanabakizwa kujiunga na Jwtz, Polisi, Usalama, n.k na huko wakifika kukiwa na nafasi za vyeo wanapewa kipaumbele maalum ili kubalance mzani wa muungano, Kwa watu wengi wa bara wakimaliza JKT hurudi vijijini kuendelea kulima ama kwenda suma jkt.
Nafasi za ajira wana fungu lao, kigezo kikuu ni uzanzibari, huku wabara wanapigana vikumbo kupata ajira, wazanzibari wapo wamekaa pale wana fungu lao ile asilimia 21.
Teuzi za wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mabalozi, n.k. wazanzibar wanaulamba.
kazi za huko Zanzibar ni zao tu, na wana kila taasisi ambayo ipo huku kwetu kuanzia tra, tff, nssf, n.k. wanapiga kote kote kwao na kwetu.
Wazanzibar wamebahatika zaidi kupata uwanja mpana tena wa kipendeleo kabisa katika nafasi za uongozi, ajira, vyeo, teuzi, n.k.
JKT wengi kama sio wote huwa wanabakizwa kujiunga na Jwtz, Polisi, Usalama, n.k na huko wakifika kukiwa na nafasi za vyeo wanapewa kipaumbele maalum ili kubalance mzani wa muungano, Kwa watu wengi wa bara wakimaliza JKT hurudi vijijini kuendelea kulima ama kwenda suma jkt.
Nafasi za ajira wana fungu lao, kigezo kikuu ni uzanzibari, huku wabara wanapigana vikumbo kupata ajira, wazanzibari wapo wamekaa pale wana fungu lao ile asilimia 21.
Teuzi za wakuu wa wilaya, wakurugenzi, mabalozi, n.k. wazanzibar wanaulamba.
kazi za huko Zanzibar ni zao tu, na wana kila taasisi ambayo ipo huku kwetu kuanzia tra, tff, nssf, n.k. wanapiga kote kote kwao na kwetu.